BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
...Utapambana vipi na mfumuko wa bei wakati Serikali iliyopo madarakani ni Serikali taahira? Hilo haliwezekani kabisa....Sasa hivi mfumuko wa bei umefika 20% miezi sita ijayo utafikia 25%. Na siajabu muda si mrefu ujao tutakuwa na hali kama waliyokuwa nayo Zimbabwe miaka michache iliyopita.