ndugu katika jf, nilienda jana kununua bidhaa za kibandani kwangu bei nilizo zikuta zikanifanya ninunue bidhaa 2/3 ya kiwango nilichopanga kununua. je hali hii tutafika?
je tatizo lipo Arusha tu au na mikoa mingine?
Mfumko wa bei umeshuka toka 13% mpaka kufikia 5.6% ni tafauti na jirni zet ambapo makwao ni avarage ya 9.5%
Uchumi wetu unaenda vizuri kulinganisha na nchi nying afrika na wataalam wa uchumi wanatabiri kama Tanzania itaendelea na nguvu zake za uchumi kwa muda wa miaka kui nchi itakuwa mbali
Vyama vya upinzani hawana cha kuikejeli serikali na ukuuaji wa uchumi kwa sababau wkina Mchungaji Slaa na wenzakehawana uwezo wa kujieleza au kuuzungumzia uchumi kutokana na elimu aliokuwa nayo haisadii ktk karne hii ya sayansi na technologia