Gurta
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 2,234
- 531
soda 600 mtaani hakuna anayeuliza wkt kiwanda kinasema retail price 500 hivi maafisa biashara wa wilaya wapo?kazi yao nini au kutoa leseni basi
hichi (hiki?) ndo nnacho hoji, nani anatakiwa afanye nini?