Tanzania kupoteza Trilioni 2 kwenye Utalii

Mwaka 2015 tulipata kama trion 4 roughly kwenye utalii
Mwaka huu watapungua zaidi ya watalii nusu nani kafanya sensa. None sense ! Wakati watalii wanamua mda wowote wanapatia visa kwa airport.
Mie nitaamini kama mwishowa wa mwaka 2016/2017 tutapata bilion $1.25 ktk utalii.

By Adam Ihucha

Tourism has overtaken gold as Tanzania's leading foreign exchange earner.

The industry earned Tanzania $2.5 billion in the year ending January 2015, up from $1.89 billion in the year ending January 2014,
http://allafrica.com/stories/201504061246.html
 
Jana nimepita Ngorongoro nimekaa pale getini kama saa nzima. ule msululu wa watalii ni tofauti na tunayoyasikia kwenye media. Nimeona watalii wengi sana pale
 
Ufanye booking 2yrs kabla kwani unaenda Jupiter?

Acha uwendawazimu, unadhani kwenda kutalii nchi ya mtu kwa bajeti ya minimum of 50,000$ ni ya kukurupuka?

Au umezoea kwenda kwa shangazi yako Tandale bila taarifa?

FYI, kuna wengine wanafanya booking hata 5 years kabla. Na kuna hotels mtu anataka kufikia imejaa miaka miwili flat, inabidi na yeye aweke booking mwaka unaofuatia.
 
Hatutaki watalii masikini - Jumanne Maghembe .

Hao matajiri waje kwa miundombinu ipi?

Tuna facilities zipi za kuwa-accomodate?

Hata hao masikini wanakuja bure? Wanalala wapi? Huko kwenye vivutia wanazamia au kuingia bure?
 
mkuu pesa za utalii zitafidiwa na reorganization ya humu ndani. kuna uzi inasema idara zinaunganishwa zibakie 6, unadhani tutaokoa kiasi gan? hapa ni mbere kwa mbere tuu:(
Hata idara ikibaki moja ni pesa kiasi kidogo sana tutapata ikilinganishwa na utalii
 
Nchi nyingi za Afrika zina 'risks' na 'uncertainties' kwenye policies.

Ndio maana sishangai tukatembelewa na watalii wachache ili hali tuna vivutio vingi sana.

Mtu anafanya bookings miaka miwili kabla halafu hapo kati mnabadilisha sera zenu.

Unategemea huyo mtu ataendelea kuja? Hata awe bilionea.

We are not predictable kabisa.

Je inawezekana kwenye nchi hizo za watalii watokako wakakaa miaka miwili bila ya mabadiko yeyote katika policies zao?
 
Wakuu,

Mimi nafikiri lengo la serikali ni kutaka kazi ya kufanya bookings na mengine ifanywe hapahapa Tanzania na makampuni ya kitanzania yakitumia tovuti zao.

Kwa mfano makampuni na mahoteli ya kitalii ya kitanzania yana budi ama kuweka utaratibu wa kielectronic au wa kiteknolojia zaidi ili kuweza kupata wateja hukohuko Ulaya kabla ya wateja hawajawalipa mawakala wa kati.

Hivyo lengo ni kuua "middlemen" lakini pia kuimarisha biashara ya ndani ya Utalii ili kuongeza ufanisi kwenye biashara zao.

Sasa kuna mambo matatu hapa:

Mzungu mtalii anataka kwenda Tarangire, basi anapanda ndege kama kawaida na akifika Dar anafanya bookings zote za safari yake ya utalii akiwa Tanzania.

Au aingie gharama zote za kufanya bokings ya packaging holiday akiwa hukohuko Ulaya kwa wala mayai kupitia "middlemen" au mawakala wazungu.

Tukumbuke, hawa mawakala wa Ulaya wapo liable na TAX na VAT ya nchini kwao na sio Tanzania sasa kwanini walielie.

Au pia afanye bookings zote za safari yake ya utalii akiwa Ulaya ukiondoa gharama za tiketi ya ndege moja kwa moja na mawakala wa Utalii, waongozaji na mahoteli ya kitalii ya Tanzania waliopo Tanzania.

Inabidi tuanglie sana hii kitu na sio kulaumu tu kila jitihada ya serikali katika kukusanya mapato.

Kuna logic kubwa sana hapo kwenye uamuzi huu wa kutoza VAT ya 18%
 
Je inawezekana kwenye nchi hizo za watalii watokako wakakaa miaka miwili bila ya mabadiko yeyote katika policies zao?

Nchi zilizo serious na wanachofanya hawabadili policies kienyeji kama Tanzania.

Nchi kama uaransa inaingiza hela nyingi sana kwenye utalii, huwezi kuta wanaweka sera za ajabu kila siku.
 
Tour operators hawapingi ongezeko la VAT tu
wanapinga ongezeko kuanza mwaka huu ....hawakujiandaa kuwaambia wateja waliofanya
bookings toka January lakini walikuwa wana mpango wa kuja mwezi wa tisa mfano
na gharama washakubaliana
kuwaambia kuanzia July kuna ongezeko waongeze pesa hapo ndo shughuli

So hapo kuna mambo mawili
kwanza ongezeko la kodi
pili ongezeko kuanza mwaka huu

Iwapo serikali ingesema japo toka January kutakuwa na ongezeko la kodi July
au hili ongezeko lianze January mwakani.....malalamiko yasingekuwa makubwa
na hofu ya kupoteza watalii isingekuwepo

Mkubwa bado hujajibu swali langu, unatoa tu maneno matupu. Sasa hata kabla kodi haijaanza ya ongezeko la thamani, wametoa takwimu kuonesha sekta ya utalii ilikuwa inaingiza kiasi gani na kati ya hicho serikali ilikuwa inapata kiasi gani ambacho kwa sasa hakitapatikana?
 
Nchi zilizo serious na wanachofanya hawabadili policies kienyeji kama Tanzania.

Nchi kama uaransa inaingiza hela nyingi sana kwenye utalii, huwezi kuta wanaweka sera za ajabu kila siku.

Tupatie takwimu za Ufaransa sio maneno matupu
 
Watalii walikuwa hawalipi kodi ya nchi (VAT) hivyo hazina ya nchi ilikuwa haifaidiki cho chote na watalii hawa kama ambavyo hatufaidiki na kampuni za migodi ambazo zina 20 years tax exemption. Waliokuwa wanafaidika na watalii ni hawa tourist & hotel operators. Hichi ndicho sababu za kelele kutoka kwa hawa ma operators. Sisi hata mama ntilie analipa VAT sasa kwa nini mtalii asilipe au ashindwe kulipa VAT? Asiyeweza hatumtaki na asije, hana faida yo yote kwetu. Mbona na sisi tukienda kutalii kwao huwa wanatutoza VAT?

Tusiwe wajinga. Hata bandarini wateja wamepungua kwa zaidi ya nusu lakini mapato ya serikali yameongezeka kwa zaidi ya mara dufu. Vivyo hivyo tutegemee kwenye utalii mapato ya serikali yataongezeka kwa zaidi ya trillion 2 from zero figure ya sasa.

Hii kodi wala si kubwa kiasi wanachotaka ma tour operators hawa tuamini. Haina tofauti na ile VAT ya miamala ya ya pesa kwenye simu, mabenki na ATM ambazo tumeanza kuzilipa.
 
Watalii walikuwa hawalipi kodi ya nchi (VAT) hivyo hazina ya nchi ilikuwa haifaidiki cho chote na watalii hawa kama ambavyo hatufaidiki na kampuni za migodi ambazo zina 20 years tax exemption. Waliokuwa wanafaidika na watalii ni hawa tourist & hotel operators. Hichi ndicho sababu za kelele kutoka kwa hawa ma operators. Sisi hata mama ntilie analipa VAT sasa kwa nini mtalii asilipe au ashindwe kulipa VAT? Asiyeweza hatumtaki na asije, hana faida yo yote kwetu. Mbona na sisi tukienda kutalii kwao huwa wanatutoza VAT?

Tusiwe wajinga. Hata bandarini wateja wamepungua kwa zaidi ya nusu lakini mapato ya serikali yameongezeka kwa zaidi ya mara dufu. Vivyo hivyo tutegemee kwenye utalii mapato ya serikali yataongezeka kwa zaidi ya trillion 2 from zero figure ya sasa.

Hii kodi wala si kubwa kiasi wanachotaka ma tour operators hawa tuamini. Haina tofauti na ile VAT ya miamala ya ya pesa kwenye simu, mabenki na ATM ambazo tumeanza kuzilipa.

Kinachosumbua kwa sasa ni kukosekana kwa Data analysts ambao wapo tayari kukusanya data kama za watalii waingiao na kutoka Tanzania.

Hiyo yote ni kwasababu hatukuwa na framework ya kila mdau wa utalii kwamba amepanga vipi kazi yake.

Ukiuliza mwaka jana waliingia watalii wangapi Tanzania na waliingiza mapato kiasi gani hakutakuwa na majibu ya uhakika.

Hapa kazi tu.
 
Nchi zilizo serious na wanachofanya hawabadili policies kienyeji kama Tanzania.

Nchi kama uaransa inaingiza hela nyingi sana kwenye utalii, huwezi kuta wanaweka sera za ajabu kila siku.


Kama ndio mnahoja zisizo na mashiko kiasi hiki mtalalamika bure bila kupata mkitakacho.
 
Back
Top Bottom