Tanzania kupokea msaada wa fedha kutoka Japan ili kufufua Shirika la Uvuvi

Tena msaada wenyewe wa chini ya USD 2m ambazo mzee wetu wa Azam angeweza kumrushia Doto hata kwa simu angetaka. Hizi aibu zingine ni za kufungia mwaka. Halafu hivi kweli bado tunahitaji shirika la Uvuvi la Taifa? So tusubiri na RTC nayo or? Shame on us.

Mnamwabudu sana huyo Azam kwa nini msiende mkaishi nae? Azam ameweza kuwa tajiri kwa sababu ya mazingira mazuri ambayo Tanzania imeweka. Bila kuwa na mazingara hayo Azam asingekuwepo au kuwa tajiri. Shame on you.
 
Unaweza kuwa donor Country at the same time ukapokea misaada. UK, USA, Germany etc hivi sasa wanapokea wageni kufanya kazi ambazo natives hawawezi kuzifanya. Usiwe na shaka na hilo kwa sababu hakuna anayetoa msaada bila kutegemea kitu in return.
Kwa hizo nchi ulizotaja zinapokea misaada ya wageni?😀😀
 
Human resources is more than financial resources.
Kwa hiyo hadi sasa tumepeka hr ya kiwango gani huko kwa mabeberu? Kupeleka watu kwa mabeberu nayo imo kwenye ilani yetu pendwa?
 
  • Mshangao
Reactions: Ole

The government of Japan on Friday granted the government of Tanzania 200 million yen (about 1.8 million U.S. dollars) to support the revival of state-run Tanzania Fisheries Corporation (TAFICO), including the purchase of fishing vessel.

The signing of exchange of notes for the grant was made in the commercial capital Dar es Salaam between the Permanent Secretary in the Ministry of Finance and Planning Doto James and Acting head of mission of the Japanese Embassy in Tanzania Katsutoshi Takeda.

James thanked Japan for the grant, saying the revival of TAFICO ranked high in the Tanzanian government’s development agenda which sought to improve the socio-economic well-being of citizens.

Under the grant, said the official, TAFICO will buy a multi-purpose fishing vessel with the ability of freezing at least five days of fishing trips. He said the grant will also enable TAFICO to secure an ice making plant, a cold room storage, fishing gear for workshop marine, a refrigerated vehicle and pickup vehicle for supplying fish.

“This project will increase fish export and stabilize national food security. In addition, it will improve fish processing, value addition and marketing and reduce fish post-harvest loss,” said James.

He said the growth rate of the fisheries sector was 9.2 percent in 2018, which was higher than 8.4 percent recorded in 2017, attributed mostly to proper management of fish hatcheries, including privately owned ponds and increased demand for fish and fish products in the domestic and foreign markets.

The share of fisheries sector in gross domestic products was 1.7 percent in 2018, which confirmed that fishing was important to the economy, said James.'

Source: News Ghana

====
TAFICO wapewa shavu, kazi sasa wavue samaki na kuanza kusindika vile vile.

Kama TAFICO ilikufa na hii itakufa pia. Kuna mwenendo wa Serikali kurudi kufanya biashara kama hii ya uvuvi, ujenzi kupitia TBA, kuagiza vifaa vya maabara viinavyohitajika mashuleni n.k. Kama ambavyo tulishindwa huko nyuma, tutashindwa tena. Serikali haifanyi biashara, haiwezi. Serikali inaweka sera za biashara na kusimamia (regulate) kuanzishwa na kukua kwa biashara ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kuingia katika biashara na kukusanya kodi. Kwa hiyo ni bora serikali itafute wabia iwauzie hisa za TAFICO waendeshe wao. Vinginevyo, Watch this post, haitafanikiwa! Mbaya zaidi ni kwamba hii tabia ya Serikali kujiingiza kwenye biashara kunadumaza kukua kwa sekta binafsi maeneo husika. Maendeleo ya nchi yanatokana na sekta binafsi. Tusidumaze sekta hizo!! IT IS WRONG!!
 
Kama TAFICO ilikufa na hii itakufa pia. Kuna mwenendo wa Serikali kurudi kufanya biashara kama hii ya uvuvi, ujenzi kupitia TBA, kuagiza vifaa vya maabara viinavyohitajika mashuleni n.k. Kama ambavyo tulishindwa huko nyuma, tutashindwa tena. Serikali haifanyi biashara, haiwezi. Serikali inaweka sera za biashara na kusimamia (regulate) kuanzishwa na kukua kwa biashara ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kuingia katika biashara na kukusanya kodi. Kwa hiyo ni bora serikali itafute wabia iwauzie hisa za TAFICO waendeshe wao. Vinginevyo, Watch this post, haitafanikiwa! Mbaya zaidi ni kwamba hii tabia ya Serikali kujiingiza kwenye biashara kunadumaza kukua kwa sekta binafsi maeneo husika. Maendeleo ya nchi yanatokana na sekta binafsi. Tusidumaze sekta hizo!! IT IS WRONG!!

Mashirika yote ya Umma yameagizwa yatoe gawio kila mwaka, labda hufahamu utendaji wa kazi wa awamu ya 5 ya JPM
Mkuu unaishi nchi gani? Watanzania wabadilike waache zile dana dana za wale wanaojiita sio washamba.
 
Mnamwabudu sana huyo Azam kwa nini msiende mkaishi nae? Azam ameweza kuwa tajiri kwa sababu ya mazingira mazuri ambayo Tanzania imeweka. Bila kuwa na mazingara hayo Azam asingekuwepo au kuwa tajiri. Shame on you.

Mkuu matusi si kitu kizuri hata kidogo hasa kwa mtu usiyemfahamu. Mimi hakuna mwanadamu ninayemwabudu, ninamwabudu Mungu pekee Muumba wa mbingu na nchi. Usiwe mwepesi wa kushambulia watu kiasi hicho badala yake jikite kwenye kujibu hoja itakusaidia sana mbele ya safari.
 
Hela zote zitaliwa na maafisa wa hpo wizarani kwa kuitisha vi semina uchwara na kulipana posho nene

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza pesa yenyewe ndogo kwa kuifufua sekta ya uvuvi. Wangereta boti zenyewe wakaingia mkataba na serikali ikafanya kwa kushirikiana kwa asilimia na sio kutoa pesa ambayo bilioni 4.14 ambayo hata Azam anaweza akatoa iyo. Italiwa apo apo Double Tree hotel . Tatizo la watu weupe washatuona mambumbu wa pesa na ndio maana wanatupa vitu ambavyo havitusaidiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama TAFICO ilikufa na hii itakufa pia. Kuna mwenendo wa Serikali kurudi kufanya biashara kama hii ya uvuvi, ujenzi kupitia TBA, kuagiza vifaa vya maabara viinavyohitajika mashuleni n.k. Kama ambavyo tulishindwa huko nyuma, tutashindwa tena. Serikali haifanyi biashara, haiwezi. Serikali inaweka sera za biashara na kusimamia (regulate) kuanzishwa na kukua kwa biashara ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kuingia katika biashara na kukusanya kodi. Kwa hiyo ni bora serikali itafute wabia iwauzie hisa za TAFICO waendeshe wao. Vinginevyo, Watch this post, haitafanikiwa! Mbaya zaidi ni kwamba hii tabia ya Serikali kujiingiza kwenye biashara kunadumaza kukua kwa sekta binafsi maeneo husika. Maendeleo ya nchi yanatokana na sekta binafsi. Tusidumaze sekta hizo!! IT IS WRONG!!
Mkuu upande mmoja ni sawa lakini Sekta binafsi ilipewa shavu lakini nayo haijaleta mapinduzi ya uchumi.Tumeshuhudia ubinafishaji ukitlitumbukiza taifa letu shimoni.
Wacha tujipange upya kwa kuboresha mashirika na makampuni ya umma.
Tafico ilihujumiwa ili kuyapa makampuni ya wagreek kuvua samaki wetu,na kuacha bahati kavu.
 
Kule musoma Kuna uzalishaji wa vifaranga wa samaki Sato. Unasimamiwa na jeshi letu( jw)
Kwa msaada huu toka Japan unaweza kusaidia nchi kuwa mzalishaji na msafirishaji mkuu wa samaki kwa nchi za magharubi. Ndege zipo.
 
Mkuu upande mmoja ni sawa lakini Sekta binafsi ilipewa shavu lakini nayo haijaleta mapinduzi ya uchumi.Tumeshuhudia ubinafishaji ukitlitumbukiza taifa letu shimoni.
Wacha tujipange upya kwa kuboresha mashirika na makampuni ya umma.
Tafico ilihujumiwa ili kuyapa makampuni ya wagreek kuvua samaki wetu,na kuacha bahati kavu.
Ufumbuzi siyo kampuni ya umma, ni kuchochea wavuvi wetu wafanye hizo kazi ikiwa ni pamoja kuweka miundombinu ya uvuvi wa kibiashara, mfano ujenzi wa bandari ya uvuvi na viwanda vya kuchakata samaki kuuza Ulaya. Hata hao sangara wanakuja kuvuliwa hapa kwetu na wageni. Sisi tumekaa tu!!
 
Mashirika yote ya Umma yameagizwa yatoe gawio kila mwaka, labda hufahamu utendaji wa kazi wa awamu ya 5 ya JPM
Mkuu unaishi nchi gani? Watanzania wabadilike waache zile dana dana za wale wanaojiita sio washamba.

Naamini nilichosema na naamini niko sahihi kwa asilimia 100.
 
Hao vichwa vyao vimejaa tope akili wamekabidhi kwa watawala wao kila wanachoambiwa ni Sawa hakuna kudodosa
Mkuu ccm unawaona hapa wakijadili faida za huo msaada? Huwa ccm wanapiga kelele kuwa watu wanajadili mambo yasiyo na maana sijui uzushi nk. Lakini cha ajabu hata wao utawakuta wamo ndani ya nyuzi hizo hizo wanazozilalamikia. Nilitarajia nyuzi za maendeleo ziwe zinafika hata page tano kwa wanaccm kwa wingi wao kuzijadili, lakini ni kinyume chake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtawala aliepo anaongoza Nchi akiwaza mambo ya miaka 40 iliyopita
Kama TAFICO ilikufa na hii itakufa pia. Kuna mwenendo wa Serikali kurudi kufanya biashara kama hii ya uvuvi, ujenzi kupitia TBA, kuagiza vifaa vya maabara viinavyohitajika mashuleni n.k. Kama ambavyo tulishindwa huko nyuma, tutashindwa tena. Serikali haifanyi biashara, haiwezi. Serikali inaweka sera za biashara na kusimamia (regulate) kuanzishwa na kukua kwa biashara ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kuingia katika biashara na kukusanya kodi. Kwa hiyo ni bora serikali itafute wabia iwauzie hisa za TAFICO waendeshe wao. Vinginevyo, Watch this post, haitafanikiwa! Mbaya zaidi ni kwamba hii tabia ya Serikali kujiingiza kwenye biashara kunadumaza kukua kwa sekta binafsi maeneo husika. Maendeleo ya nchi yanatokana na sekta binafsi. Tusidumaze sekta hizo!! IT IS WRONG!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufumbuzi siyo kampuni ya umma, ni kuchochea wavuvi wetu wafanye hizo kazi ikiwa ni pamoja kuweka miundombinu ya uvuvi wa kibiashara, mfano ujenzi wa bandari ya uvuvi na viwanda vya kuchakata samaki kuuza Ulaya. Hata hao sangara wanakuja kuvuliwa hapa kwetu na wageni. Sisi tumekaa tu!!
Mbona mazingira hayo yaliwekwa na Nyerere? Alinunua meli za uvuvi kibao,Alijenga Terminal ya Samaki,akajenga Chakura Barafu,akajenga vyuo vya uvivu kibao lakini baada ua kuondoka madarakani kila kitu kikasimama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom