POLE MKUU, USISAHAU TUKO AWAMU YA NNE SASA.KUIBA NI KAWAIDADaaah, mnatuumiz moyo jamani, ibeni hata kisiri siri, mnapoiba wazi wazi hivi ukizingatia na tozo jinsi inavyouma, kwa kweli hamtutendei haki kabisa
SIYO MSAADA BALI SERIKALI ITALIPIA SH BILLION 3Msaada huwezi kukataa lakini hii chanjo kinga yake ipo chini sana na sehemu nyingi haikubaliki hata huko meka hii haitakubalika. Yaani mimi sita shauri mtu upige hii badala ya Johnson
SIYO MSAADA BALI SERIKALI ITALIPIA SH BILLION 3
Mungu atupe uhai tuone mwisho wa mchezo.Hii inshu ya Chanjo tunaichukulia Kiwepesi ila nasema huu ni Moja ya Msumari utakuja Kumsulubu mama 2025 kama ataamua ku vie for presidency, Hawa washauri wa Mama wako very strategic kuhakikisha Chombo kinaenda Mrama baadae wapate pakupigilia Msumari hizi Chanjo zimesha fail kuanzia Phase one na kama ni kupraise kwenye International Communities kuwa tuko nao Pamoja imetosha sana Kitendo cha Kuruhusu Vaccines za J & J kuingia ni key indicator tosha ya kusema kuwa tunaitambua korona Na tuna adhere rules zote, Ila hii inshu ya kuingiza varities of Vaccine kwa kweli ni hatari hata kwa usalama wa Nchi, Mama tunampenda sana Na Hata Juzi akiwa Newyork kwenye UNGA ame Adress izo mambo, itoshe kusema Ordinary citizens hatuko entertain Na izi mambo za Vaccines Na hawa Viongozi ambao wakati wa The late JPM walikuwa wanasema chanjo haifai ni Ngumu Leo kutuaminisha tena zinafaa, Wananchi wameamua kukaa Pembeni waki observe the matter
Mliochanja mnateseka sana.Hutaki mtu aongelee chanjo in negative way ili iwe nn?ACHA siasa, chanjo Hata zikiwa 100 tofauti tutachanja ,Acheni zungumzia chanjo katika negative way ,hutaki chanja baki wewe,ila sio walisha maneno na kuwakatisha tamaa wengine
zile tu zimedoda wanaleta nazingine.
Halafu huko China wameripoti kuwa waliochanjwa hiyo chanjo Sinopharm haiwasaidii, wakipata Corona wanaugua nakufa , yaani ni feki.Kwanini serikali inaokoteza kila aina ya chanjo kutoka nje?
Ina maana na walio chanja nao wamelazwa?Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzania inatarajia kupokea Dozi Milioni 2 za Sinopharm kutoka Nchini China. Kwenye chanjo hiyo, mtu atapokea dozi mbili tofauti na Johnson & Johnson ambayo inachomwa mara moja
Akizungumza kutoka Mkoani Singida, Msigwa ameeleza kuwa idadi ya Watanzania waliopokea chanjo hadi sasa imefikia 400,000. Ametoa rai kwa watu kuchanja akisema sehemu kubwa ya wagonjwa wa Corona wanaopumulia mashine Hospitalini hawakuchanja
Mliochanja mnateseka sana.Hutaki mtu aongelee chanjo in negative way ili iwe nn?
Jana Uingereza wameondolea Tanzania vikwazo vya kwenda huko... Kuchanjwa ni hiyari Mkuu. Unaweza kupuuza au kubeza ila kumbuka corona haidhihakiwi.zile tu zimedoda wanaleta nazingine.
Aliyepinga watanzania kuchanjwa ndiye aliyewajaza ujinga wakidhani chanjo zinaletwa na CHADEMA, leo wamezileta wao tayari waliojazwa ujinga hawaziamini tena!! Corona haitaniwi... Walioidhihaki hadharani iliwaondoa kimyakimya...Mliochanja mnateseka sana.Hutaki mtu aongelee chanjo in negative way ili iwe nn?
Umeshirikisha ubongo kabla ya kujibu hoja mkuu Mkuu???Gwajima na Charles Mbowe nani ameondoka?
Umeshirikisha ubongo kabla ya kujibu hoja mkuu Mkuu???Gwajima na Charles Mbowe nani ameondoka?