beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzania inatarajia kupokea Dozi Milioni 2 za Sinopharm kutoka Nchini China. Kwenye chanjo hiyo, mtu atapokea dozi mbili tofauti na Johnson & Johnson ambayo inachomwa mara moja

Akizungumza kutoka Mkoani Singida, Msigwa ameeleza kuwa idadi ya Watanzania waliopokea chanjo hadi sasa imefikia 400,000. Ametoa rai kwa watu kuchanja akisema sehemu kubwa ya wagonjwa wa Corona wanaopumulia mashine Hospitalini hawakuchanja
 
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzania inatarajia kupokea Dozi Milioni 2 za Sinopharm kutoka Nchini China. Kwenye chanjo hiyo, mtu atapokea dozi mbili tofauti na Johnson & Johnson ambayo inachomwa mara moja

Akizungumza kutoka Mkoani Singida, Msigwa ameeleza kuwa idadi ya Watanzania waliopokea chanjo hadi sasa imefikia 400,000. Ametoa rai kwa watu kuchanja akisema sehemu kubwa ya wagonjwa wa Corona wanaopumulia mashine Hospitalini hawakuchanja
Mnachezea tu chanjo za watu, zili milion moko mmeshindwa kuzimaliza halafu bado mnalia lia chanjo hazitoshi
 
Kwanini wakina mama hwajitokezi wote kuchanjwa ili kumuunga mkono rais? Kwanini chadema hawajitokezi kuchanjwa ili kumuunga mkono mbowe? Kwanini CCM hawajitokeni ili kumuunga mkono mwenyekiti wao, kwanini wafanyakazi serikalini hawakujitokeza wote ili kummuunag amir jeshi mkuu? Kwanini linapofika suala la chanjo ahwa wanachama wakila chama wanaanza kuzunguka.Kwanini zito na makamba hawachanji kumuunga mkono Samia.
 
Tuliopata Jonhsnon tunaruhusiwa na kuchanja hii ?
images (5).png
 
Nawatakia heri serikali, lakini wanatakiwa wafanye tathmini ya kina kabla hawajaleta aina nyingine ya chanjo.

Karibu mwezi wa pili sasa hata nusu ya idadi ya chanjo ya awali bado haijafikia! Maana yake haikupokelewa vizuri na wananchi,wengi waliokua wana hitaji chanjo tayari wameshachanjwa, waliobaki sidhani kama wana haja nayo Lau wangekua wameshachanjwa.

Kuleta chanjo nyingine tena ya aina nyingine wakati iliotangulia bado kumalizika, kiasi cha kusema chanjo haijitajiki tena nadhani ni matumizi ya yasio sahihi ya fikra na mang'amuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The only resources mtu mweupe anaweza kuitumia kwa sasa ni kama hivi, tengeneza tatizo kubwa hadi dunia ishangae, tafuta suluhu yake, dunia yote ikupigie magoti wewe tu ili wanunue kutoka kwako.

A white man is just a !
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom