M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Hapa chini ni historical trend (source ni World Bank) ya ongezeko la per capita income kwa Tanzania kuanzia awamu ya 3 (Mkapa), halafu ya 4 (JK ) hadi ya sasa ya 5 (Magufuli).
Ni wazi kuwa kila rais katika awamu hizo 3 amechangia kwa kiasi kikubwa kuifikisha Tanzania katika uchumi wa kati chini.
Mkapa: ongezeko la 194% (sawasawa na $ 330)
JK: ongezeko la 96% (sawasawa na $ 480)
Magufuli: ongezeko la 10% (sawasawa na $ 100)
In terms of %, aliyeongoza ni Mkapa na mwisho ni Magufuli.
In terms of absolute figures, aliyeongoza ni JK na wa mwisho ni Magufuli.
Nawaomba Watanzania tuwatambue vinara (walioongoza yaani Mkapa & JK) waliotufikisha hatua hii. Mungu awabariki sana hawa wazee wetu marais wastaafu.
Ni wazi kuwa kila rais katika awamu hizo 3 amechangia kwa kiasi kikubwa kuifikisha Tanzania katika uchumi wa kati chini.
Mkapa: ongezeko la 194% (sawasawa na $ 330)
JK: ongezeko la 96% (sawasawa na $ 480)
Magufuli: ongezeko la 10% (sawasawa na $ 100)
In terms of %, aliyeongoza ni Mkapa na mwisho ni Magufuli.
In terms of absolute figures, aliyeongoza ni JK na wa mwisho ni Magufuli.
Nawaomba Watanzania tuwatambue vinara (walioongoza yaani Mkapa & JK) waliotufikisha hatua hii. Mungu awabariki sana hawa wazee wetu marais wastaafu.