Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,687
- 7,562
Toka siku hiyo hata sauti yake sitaki kuisikia.. Alafu anataka aombwe msamahaAkina J4 sijui walitumia ndumba za aina kuwapumbaza viongozi wao kwa kuwaamisha kuhusu hii kesi ya mchongo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka siku hiyo hata sauti yake sitaki kuisikia.. Alafu anataka aombwe msamahaAkina J4 sijui walitumia ndumba za aina kuwapumbaza viongozi wao kwa kuwaamisha kuhusu hii kesi ya mchongo...
kwahiyo huruki lazma uendeMahakama inakulazimisha
Mavilaza wote haoUlishawahi kuisikia div 3 ya point 21 ya form 6?juzi Kuna Shahidi kutoka police alisema yeye aliipata hio.
Atafurahi..Sipat picha siku iyo
SIRO sio wa kumchukuliah Serious.Wakati mwingine anapitiwa.IGP Sirro katika press conference aliyofanya mwezi August last year, juu ya kukamatwa kwa Freeman Mbowe, alisema wanao ushahidi juu ya FAM kupanga njama za Kulipua visima vya mafuta na kudhuru viongozi wa umma.
Sio kwamba aliteleza ulimi bali alirudia karibu Mara tatu kuwa Mbowe alipanga kulipua visima vya mafuta.
Naomba kujuzwa Tanzania tuna visima vyaafuta na Kama vipo vipo wapi? Je Sirro alitudanganya.
Unajua kiswahili wewe? Unajua maana ya kisima? Tank linawezaje kuwa kisima? Ni sawa na kusema bakuli ni glassVisima vya mafuta anamaanisha petrol stations,pammoja na oil tank farms tank farms ni depot zenye kuhifadhi mafuta inbulk.
Hayo ma tank yanaweza yakawa yamechimbiwa ardhini au yamejengewa juu ya ardhi.
Lakini kwa msemo sahihi ukisema visima vya mafuta ni mafuta ghafi yatokayo chini ya ardhi iwe nchi kavu au chini ya bahari baada ya kuchimba,(drilling)yametengenezewa miundo mbinu ya kutokea chini ya ardhi na kupandishwa juu ardhi na kusafirishwa ikibidi sehemu mbali mbali.
Ni Kijiji gani hicho tank la maji wanaita kisima? Acha kutetea ujinga wewe... ni suala la lugha tu kutegemea na asili ya mzungumzaji. Wengine tenki au pipa wanaita kisima. Kwa mfano kwa vijijini maeneo ya bara matenki makubwa ya kutunzia maji ya bomba vijijini wanaita visima wakati maeneo ya Pwani kisima ni chanzo cha maji kinachochimbwa ardhini.
Inategemea Sirro Kiswahili chake cha kwanza alijifunzia kwenye mazingira gani ya makuzi. Tusimhukumu kwa vitu vidogo vinavyotokana na athari za asili ya mhusika. Context ya maelezo yake ndio muhimu kuliko neno moja moja aliloongea.
Apana visima ni vyote ulivyovitaja, vya kuhifadhi petroli na vya kutoa mafuta ghafi, vyote visimaVisima vya mafuta anamaanisha petrol stations,pammoja na oil tank farms tank farms ni depot zenye kuhifadhi mafuta inbulk.
Hayo ma tank yanaweza yakawa yamechimbiwa ardhini au yamejengewa juu ya ardhi.
Lakini kwa msemo sahihi ukisema visima vya mafuta ni mafuta ghafi yatokayo chini ya ardhi iwe nchi kavu au chini ya bahari baada ya kuchimba,(drilling)yametengenezewa miundo mbinu ya kutokea chini ya ardhi na kupandishwa juu ardhi na kusafirishwa ikibidi sehemu mbali mbali.
Mie ndo kabisa ata YouTube na kwa Millard ayo video zake nazipitaToka siku hiyo hata sauti yake sitaki kuisikia.. Alafu anataka aombwe msamaha
Iyo ni lazimakwahiyo huruki lazma uende
Jamaa kilaza Sana anatetea udhalimuNi Kijiji gani hicho tank la maji wanaita kisima? Acha kutetea ujinga wewe
He simply meant kulipua petrol stationsIGP Sirro katika press conference aliyofanya mwezi August last year, juu ya kukamatwa kwa Freeman Mbowe, alisema wanao ushahidi juu ya FAM kupanga njama za Kulipua visima vya mafuta na kudhuru viongozi wa umma.
Sio kwamba aliteleza ulimi bali alirudia karibu Mara tatu kuwa Mbowe alipanga kulipua visima vya mafuta.
Naomba kujuzwa Tanzania tuna visima vyaafuta na Kama vipo vipo wapi? Je Sirro alitudanganya.
Kwa uelewa wangu agizo la mahakama ni amri ukigoma nadhani unapata msala, hata wewe pale mahakamani ukizingua Hakimu anaweza kukuadhibu pale pale.sorry hivi unaeza kuitwa kuwa shahidi bila kukubali ? mahakama inakulazmisha au ? usipofika kuna adhabu ? nataka kujifunza tu...
Husimlishe manenoHe simply meant kulipua petrol stations
Kwahiyo atume wanasheria wake kwenye kesi ya Ugaidi... kwa kuwa IGP ni cheo na sio mtu binafsi anaweza kutuma wanasheria wa ofisi yake badala ya kwenda yeye mwenyewe.
Kwahiyo atume wanasheria wake kwenye kesi ya Ugaidi... kwa kuwa IGP ni cheo na sio mtu binafsi anaweza kutuma wanasheria wa ofisi yake badala ya kwenda yeye mwenyewe.
Wewe uko serious kweli au?... kwa kuwa IGP ni cheo na sio mtu binafsi anaweza kutuma wanasheria wa ofisi yake badala ya kwenda yeye mwenyewe.
Sasa si umfuate Sirro mwenyewe ukamuulize akueleze alimaanisha nini?Wewe ni msemaji wa sirro? Umejuaje alimaanisha visima unavyo visemea hapa?