Tanzania kuna sheria zimepitwa na wakati, inabidi kuzibadilisha

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,885
Kuna sheria tulitunga kipindi ambacho tulikuwa hatuna uelewa wa kutosha(wajinga) au zilitufaa kufanikisha malengo ya wakati huo.

1.Sheria ya uzembe na uzururaji. Kwasasa dunia inataka uchumi wa 24/7 na watu wote si wakulima wa kulima mchana. Unakuta polisi wanamkamata mtu anayecheza bao asubuhi kwa kutumia hii sheria. Zamani ilisaidia watu kwenda mashambani ila kwasasa haitufai.

2. Kumfunga/kumshtaki mtu aliyejaribu kujiua. Japo haitumiki kivile ila ni kukosa uelewa kumshtaki mtu anayejaribu kujiua.

3.Sheria ya kukataa mgombea binafsi. Dunia ya sasa inataka mawazo huru yasiyofungamana na mavyama.

4...............
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom