Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,549
- 6,097
Wakuu nipo sehemu fulani hapa kuna vijana wanajaza fomu fulani hivi mimi nikiwa kama msimamizi wa hili zoezi kuna jambo linanitatiza hapa kidogo.
Katikati hizo fomu kuna kipengele cha kujaza kabila lako sasa vijana wengi kutoka Mkoa wa Arusha katika hiki kipengele wanajaza kabila lao MUARUSHA.
Hapa nabaki najiuliza mbona hili Kabila sijawahi kulisikia na hata katika ile list yetu ya mkeka wa makabila zaidi ya 120 sijawahi kuona hili kabila?
Pembeni yangu kuna vijana wameniambia hilo kabira ila nawasikia wanaongea KIMASAI. Najiuliza au ndugu zetu WAMASAI mmeamua ku edit jina la kabila lenu kutoka MAASAI na kuwa WAARUSHA?
Kama ni hivyo kwani nyie ndugu zetu hamuijui LEGACY ambayo kila Siku MATAGA wanaihubiri humu ndani? Naomba tusipoteze LEGACY.
Katikati hizo fomu kuna kipengele cha kujaza kabila lako sasa vijana wengi kutoka Mkoa wa Arusha katika hiki kipengele wanajaza kabila lao MUARUSHA.
Hapa nabaki najiuliza mbona hili Kabila sijawahi kulisikia na hata katika ile list yetu ya mkeka wa makabila zaidi ya 120 sijawahi kuona hili kabila?
Pembeni yangu kuna vijana wameniambia hilo kabira ila nawasikia wanaongea KIMASAI. Najiuliza au ndugu zetu WAMASAI mmeamua ku edit jina la kabila lenu kutoka MAASAI na kuwa WAARUSHA?
Kama ni hivyo kwani nyie ndugu zetu hamuijui LEGACY ambayo kila Siku MATAGA wanaihubiri humu ndani? Naomba tusipoteze LEGACY.