johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,853
Nenda kwenye nchi yoyote ya kidikteta halafu wasimulie kwamba vijana wa upinzani waliingia lilipo kaburi la hayati mwenyekiti wa chama tawala na wakacheza bao na kunywa maziwa, maandazi na samosa.
Watashangaa sana.
Tanzania tuna demokrasia pana!
Watashangaa sana.
Tanzania tuna demokrasia pana!