lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Tanzania kuna baadhi ya vijiji wananchi wakiona magari wanayaogopa magari,na wanayakimbia magari,na kudhani wenye magari ni wanyonya damu.
Vijiji vya aina hii ccm imekuwa ikivuna kura nyingi sana hasa wakati wa uchaguzi,ndio maana ccm hawataki asasi za kirai,na vyama vya siasa visifanye siasa,au asasi za kiraia kutoa elimu ya uraia.
Vijiji vya aina hii ccm imekuwa ikivuna kura nyingi sana hasa wakati wa uchaguzi,ndio maana ccm hawataki asasi za kirai,na vyama vya siasa visifanye siasa,au asasi za kiraia kutoa elimu ya uraia.