joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
- Thread starter
- #121
Kama ni wewe ndio umepewa nafasi ya Mahiga ungefanyaje? Miezi miwili nyuma Kanya hawahawa walikataza Gari za Tanzania bila kuishirikisha Tanzania katika maamuzi yao, kabla jua halijazama wamerudia kosa lile lile, unataga Kabudi afanye nini?. Hawa ni watu wa kupambana nao tu, Hakuna jinsi.Tangu atolewe Mzee Mahiga kwenye ile wizara nyeti, limebakia Pazia tu la kutumbua mimacho tu na kusifu sifu ujinga.