Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,621
- 1,706
Wahenga walisena maneno matupu hayavunji mfupa, nasema hivi kwasababu kumekuwa na majigambo mengi na kauli mbiu nyingi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii lakini mafanikio yamekuwa madogo au hakuna kabisa. Ningependa nimshukuru Balozi Kagasheki kwa mapinduzi aliyoyafanya ndani ya wizara husika, ila tunapenda mageuzi haya yalete mafanikio maana tunasikia hata vigogo serikalini wanatuhumiwa kuuza meno ya tembo.
Mwisho niseme hivi tuweke kipaumbele cha kujitangaza kimataifa km CNN,BBC Kenya wanafanya hivi.
Mwisho niseme hivi tuweke kipaumbele cha kujitangaza kimataifa km CNN,BBC Kenya wanafanya hivi.