Haiji akilini karne hii ya sasa nchi ikosee mafuta kweli na kufanya shughuli kusimama..mfano jana nimepita wilaya ya kilwa hakuna mafuta kabisa hata tone ...magari mengi watu wamepaki binafsi na serikali....
Waliosababisha hili vyema wakawajibishwa .... Mafuta yanapakuliwa hapa kwetu sisi hatuna mafuta lakini nchi za jirani zinamafuta hii ni hatari sana.
Waliosababisha hili vyema wakawajibishwa .... Mafuta yanapakuliwa hapa kwetu sisi hatuna mafuta lakini nchi za jirani zinamafuta hii ni hatari sana.