Tanzania kukopa trilioni 2.1 kutekeleza bajeti ya 2016/17

"The government has initiated negotiations with Credit Suisse in the United Kingdom for a loan of $300 million following recent improvements in the cost of borrowing in European markets," he said in a statement.

Mpango said Tanzania plans to borrow a total of $936m from external non-concessional sources in 2016/17 (July-June) fiscal year to support domestic revenues and finance public spending.


936.000.000usd x 2160= tsh 2.021.760.000.000/=
Hivi bado Deni la Taifa mpaka Jan 2017 ikoje?
 
Hivi kipi bora; kukataa zile hela za bure za MCC na wafadhili wengine au kwenda kukopa? Labda mimi sielewi! Kwa mtindo huu si deni la taifa litapaa kwa kasi ya mwanga wajameni?

======= UPDATES ======



Hii issue ya VAT isipoangaliwa itaua uchumi. Nilikuwa nawaza, kwa mfano kwa mlaji aliyeko huko pembezoni mwa nchi na ambaye ili bidhaa imfikie itapitia kwa wafanyabiashara watatu at minimum; yaani mwagizaji kutoka nje (mfanyabiashara 1 - MB1), whole seller jirani na alipo mlaji (MB2), muuza rejareja kwa mlaji (MB3). Hapo katikati pia kuna m/wasafirishaji au transporters angalau wawili - kutoka bandarini/DAR hadi kwenda kwa MB2 (T1); kutoka MB2 kwenda MB3 (T2); kutoka MB3 kwenda kwa mlaji (T3).

Kama thamani ya mzigo kutoka nje ni TZS/USD X kwa mfano, ina maana VAT, bila kuhusisha VAT kwenye usafiri wa ndani (assume hauna VAT to minimize computation complications) inakokotelewa hivi (I think):

1. On entry (bandarini): 0.18X
2. From MB1 to MB2: 0.18 (X + 0.18X)
3. From MB2 to MB3: 0.18 (X + (0.18(X + 0.18X)))
4. From MB3 to Mlaji: 0.18 (X + 0.18 (X + (0.18(X + 0.18X))))

Hii ina maana mlaji wa mwisho VAT atakayolipa bila usafiri ni: 0.18X + 0.18 (X + 0.18X) + 0.18 (X + (0.18(X + 0.18X))) + 0.18 (X + 0.18 (X + (0.18(X + 0.18X))))

Dah! Ha ha ha! hii ni "cascading" ya hatari! Kazi ipo.
HIYO hadi ulaya ipo unashangaa nini?
 
Back
Top Bottom