Na nini maana ya competition na rivalry?
Au unajifanya kufunga macho?Tunaita ostrich method?
Huwezi fungia macho mambo hayo hapo juu no matter how wanafiki we are!
Nyumbu hampendi kuzisikia, hivi kwanini, wivu?Hahahaaa
Mataga bwana....hua wanapenda kusikia this kind of nonsense!
Eti "kashitaki popote"
Usiwe unapoteza muda wako kubishana na watu kama hao.
Unaweza kuniambia huyu black American ni nani? View attachment 1638305
Unaona,umekimbilia hadithi!
Jibu hoja yangu acha hadithi wewe....
Hoja yangu ni kwamba,dimension ya "competition" au "rivary" umeiacha wapi?
Maana upende usipende kwenye capitalism kuna hizo dimensions wether you like it or not!
Kujifanya eti tunafanya maendeleo sisi kama sisi bila kumuangilia yeyote ni aina fulani ya unafiki unaonesha hapa!
Haya,kimbilia hadithi tena!
Kwa hiyo wewe unafanya maendeleo kwa kuangalia mwingine?
Hongera kama ni hicho,
lakini binafsi naona kujifunza kwa wengine waliofanya vizuri pia ni hekima ya kukusaidia kuendelea, ila si kwa competition or a rivalry.
Wewe unatabia za kike sana. Udaku mwingi. Sasa mbona unachokora twitter handle za watu? Wachana na yeye. Wewe nimekuogopa sana.Eti "kashitaki popote"
Usiwe unapoteza muda wako kubishana na watu kama hao.
Unaweza kuniambia huyu black American ni nani? View attachment 1638305
Kwanini uniogope?Wewe unatabia za kike sana. Udaku mwingi. Sasa mbona unachokora twitter handle za watu? Wachana na yeye. Wewe nimekuogopa sana.
Nilifikiri mabeberu ni maadui wa Tz😂😂.Professor of wa chuo maarufu nchini Kenya katika mahojiano na kituo cha television cha Citizen amesema baada ya miradi ya Standard Gauge Train na Mwalimu Nyerere Hydro Power Project vikikamilika uchumi wa Tanzania utapanda na kuzidi uchumi wa Kenya.
View attachment 1638127
Ala!!!Huyu naye huwa si dem.I thought ni He😂😂 Enyewe kanakuwanga na umama sana.Wewe unatabia za kike sana. Udaku mwingi. Sasa mbona unachokora twitter handle za watu? Wachana na yeye. Wewe nimekuogopa sana.
Ni mwanaume but anapenda kuchokora vitu za watu kama dem. Amewahi kuanika tweeter handle yangu hapa nikashindwa ameitoa wapi. Ni kadetective sana haka kajamaa.Ala!!!Huyu naye huwa si dem.I thought ni He😂😂 Enyewe kanakuwanga na umama sana.
Wanaume wa Dar kama mabinti vile. Hukujua?Ni mwanaume but anapenda kuchokora vitu za watu kama dem. Amewahi kuanika tweeter handle yangu hapa nikashindwa ameitoa wapi. Ni kadetective sana haka kajamaa.
babayao255
Ni mwanaume but anapenda kuchokora vitu za watu kama dem. Amewahi kuanika tweeter handle yangu hapa nikashindwa ameitoa wapi. Ni kadetective sana haka kajamaa.
babayao255
Hivi wewe ni demu au Nungayembe?, just asking.Ama ni mchwawi anakusorora ya nini
Hivi wewe ni demu au Nungayembe?, just asking.
But for real, watu wengi sana hapa JF hawajui kama wewe ni chali ama dem. Watu wamechanganyikiwa. Kwanza team mafisi hehe 😁 😁 wamechanganyikiwa sana.Ama ni mchwawi anakusorora ya nini 😂😂😂
Haiwezikani, kweli?huyo ni mwanaume imagine