zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Hivi tuko uchumi wa Kati kweli?
Wiki chache zilizopita Tanzania imetangazwa na World BANK kufikia uchumi wa kati
Kigezo kilichotumika ni pato la mtu mmoja kwa mwaka
Annual Indivual Income au Per Capita Income na imeelezwa kipato cha MTU mmoja kwa mwaka kinakadiriwa kuwa 2.5million
Wananchi wa kawaida ukiwahoji wanasema hela ndo inazidi kuwa ngumu kupatikana
Sasa je kuna ukweli wowote katika hili limekaaje wakuu?!
#Iam Zagarino
Wiki chache zilizopita Tanzania imetangazwa na World BANK kufikia uchumi wa kati
Kigezo kilichotumika ni pato la mtu mmoja kwa mwaka
Annual Indivual Income au Per Capita Income na imeelezwa kipato cha MTU mmoja kwa mwaka kinakadiriwa kuwa 2.5million
Wananchi wa kawaida ukiwahoji wanasema hela ndo inazidi kuwa ngumu kupatikana
Sasa je kuna ukweli wowote katika hili limekaaje wakuu?!
#Iam Zagarino