Adam-Saffi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 394
- 305
Ninaamini nchi yetu itafanya vizuri sana kwenye paraolympics. Tuna wabunge, wanasiasa wakiongozwa na honorable Ndungai, Polepole, Gwajima, Tarimba, Mwigulu, Zungu etc hakuna hata haja ya kuwapima maana wana akili ya kuku wote hao. Mheshimiwa Tarmba atasindikizwa na na vigogo wa Yanga, huyu jamaa anafikiri alienda bungeni kuzungumzia Yanga tu. Tunategemea kupata medali 115 according to betting agencies.