Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
Suala sio kutupa taka ovyo. Mamlaka husika ina uwezo wa kukusanya 40% only ya taka zinazozalishwa kwa siku. Lakini pamoja na hayo hakuna uwekezaji kwenye kampeni za 3R, reduce, recycle and reuse.