abduel paul
Senior Member
- Nov 23, 2010
- 133
- 5
Wingi wa matukio TZ unaifanya Tz kutokuweka vipaumbele kwenye mambo ya msingi, yapata miezi kadhaa baada ya kauli za dharula kutolewa zikilenga utatuzi wa tatizo la umeme miezi inazidi kusonga tatizo la umeme halina unafuu, na hapa ndo dharula, Je isiyo dharula ikoje? Hivi ni kweli la Igunga ni muhimu kuliko matatizo mengine ya Tz? Ukizingatia baada ya uchaguzi atapatikana mbunge mmoja tu!?