Prisoner
Senior Member
- Jan 26, 2010
- 119
- 0
Hii habari niliipata kwenye VOA sasa nashindwa kuelewa kwa nini Tanzania na Kenya zimeingia kwenye Mvutano au wanataka huu ushirikiano ufe kwani Tazania inataka kuuza Pembe za Ndovu nje ya Nchi na huku Kenya ikikataa Tanzania kujihusisha na Biashara hiyo kwani ukiangalia nyuma ya Pazia Kenya inaongoza East Africa kwa kuuza Nje Pembe za Ndovu tena wanakuja kuwinda Tanzania sasa wanaona Tanzania nayo ikiingia kwenye hiyo biashara itakosa mapato JE tuishauri vipi Serikali ya Tazania au Kenya? na je tukiwashauri wote wakae kimya atakaye pata soko sawa na sisi tulinde mipaka yetu wasije kuwinda kwetu.? Je ushirikiano utakuwepo?