Tanzania, Kenya zaingia kwenye mvutano

Prisoner

Senior Member
Jan 26, 2010
119
0
Hii habari niliipata kwenye VOA sasa nashindwa kuelewa kwa nini Tanzania na Kenya zimeingia kwenye Mvutano au wanataka huu ushirikiano ufe kwani Tazania inataka kuuza Pembe za Ndovu nje ya Nchi na huku Kenya ikikataa Tanzania kujihusisha na Biashara hiyo kwani ukiangalia nyuma ya Pazia Kenya inaongoza East Africa kwa kuuza Nje Pembe za Ndovu tena wanakuja kuwinda Tanzania sasa wanaona Tanzania nayo ikiingia kwenye hiyo biashara itakosa mapato JE tuishauri vipi Serikali ya Tazania au Kenya? na je tukiwashauri wote wakae kimya atakaye pata soko sawa na sisi tulinde mipaka yetu wasije kuwinda kwetu.? Je ushirikiano utakuwepo?
 
Aha!! Wewe Tanzania Elewaneni na Jirani kisha endelea kufanya biashara je itakuwa kwa faida ya nani??
 
-Hivi sisi ni kitu gani kinachotufanya tuwe wanyenyekevu kwa wenzetu hawa? Tanzania iaangalie jinsi ya kujibu hizi move za wakenya.

_sijui viongozi wetu wakoje,i really doubt their patriotic spirit...sasa huku kwenye common market tumeingia na still tunachezeana rafu kibao.

-Tanzania tuwe makini sana isije ikawa tutakuja fanyiwa mambo kama ambayo India wanafanyia Nepal baada ya kuruhusu free movement of labour accros border na matokeo yake wahindi ndiyo wanaongoza kumiliki properties,and Emplyment in Nepal.

-Tanzania tuwe more agressive katika hili tuache masikhara.
 
Hii habari niliipata kwenye VOA sasa nashindwa kuelewa kwanini Tanzania na Kenya zimeingia kwenye Mvutano au wanataka huu ushirikiano ufe kwani Tazania inataka kuuza Pembe za Ndovu nje ya Nchi na huku Kenya ikikataa Tanzania kujihusisha na Biashara hiyo kwani ukiangalia nyuma ya Pazia Kenya inaongoza East Africa kwa kuuza Nje Pembe za Ndovu tena wanakuja kuwinda Tanzania sasa wanaona Tanzania nayo ikiingia kwenye hiyo biashara itakosa mapato JE tuishauri vipi Serikali ya Tazania au Kenya? na je tukiwashauri wote wakae kimya atakaye pata soko sawa na sisi tulinde mipaka yetu wasije kuwinda kwetu.? Je ushirikiano utakuwepo?

Hii issue ni ndogo na imekwisha kuwa discussed na wala hakuna mgogoro wowote. Suala lenyewe ni kuhusu pembe za ndovu zilizo vunwa au kukamatwa Tanzania sasa Tanzania wanataka wauze pembe hizo lakini Kenya na nchi nyingine wanasema zikiuzwa zitachochea uwindaji haramu wa ndovu ndo maana Kenya wanasema kama Tanzania haina mahali pa kuhifadhi hizo pembe za ndovu basi wawape Kenya wawahifadhie lakini siyo kuziuza kwa sasa.

Kwa hiyo mtoa mada hakuna mgogoro hapo isipokuwa serikali ya Tanzania inaangalia kama ikubaliane na ushauri wa kenya na nchi zingine au la.
 
Hii issue ni ndogo na imekwisha kuwa discussed na wala hakuna mgogoro wowote. Suala lenyewe ni kuhusu pembe za ndovu zilizo vunwa au kukamatwa Tanzania sasa Tanzania wanataka wauze pembe hizo lakini Kenya na nchi nyingine wanasema zikiuzwa zitachochea uwindaji haramu wa ndovu ndo maana Kenya wanasema kama Tanzania haina mahali pa kuhifadhi hizo pembe za ndovu basi wawape Kenya wawahifadhie lakini siyo kuziuza kwa sasa.

Kwa hiyo mtoa mada hakuna mgogoro hapo isipokuwa serikali ya Tanzania inaangalia kama ikubaliane na ushauri wa kenya na nchi zingine au la.

Hakuna sehemu ya kuhifadhi pembe za ndovu Tanzania? duh!

Kwa unahitaji nini kuhifadhi hiyo mali ya nchi mpaka wapewe manyang'au?

Itafika siku tutasema hatuna pa kuhifadhi Dhahabu na Almasi za nchi yetu..really are we serious?
 
Hakuna sehemu ya kuhifadhi pembe za ndovu Tanzania? duh!

Kwa unahitaji nini kuhifadhi hiyo mali ya nchi mpaka wapewe manyang'au?

Itafika siku tutasema hatuna pa kuhifadhi Dhahabu na Almasi za nchi yetu..really are we serious?


Kumbe wewe ni ......... ok.
 
Hakuna sehemu ya kuhifadhi pembe za ndovu Tanzania? duh!

Kwa unahitaji nini kuhifadhi hiyo mali ya nchi mpaka wapewe manyang'au?

Itafika siku tutasema hatuna pa kuhifadhi Dhahabu na Almasi za nchi yetu..really are we serious?

Mbona unapenda kukurupuka kila mara bila kusoma vyema na kutafakari??
 
Hii issue ni ndogo na imekwisha kuwa discussed na wala hakuna mgogoro wowote. Suala lenyewe ni kuhusu pembe za ndovu zilizo vunwa au kukamatwa Tanzania sasa Tanzania wanataka wauze pembe hizo lakini Kenya na nchi nyingine wanasema zikiuzwa zitachochea uwindaji haramu wa ndovu ndo maana Kenya wanasema kama Tanzania haina mahali pa kuhifadhi hizo pembe za ndovu basi wawape Kenya wawahifadhie lakini siyo kuziuza kwa sasa.

Kwa hiyo mtoa mada hakuna mgogoro hapo isipokuwa serikali ya Tanzania inaangalia kama ikubaliane na ushauri wa kenya na nchi zingine au la.


Tuwekee source kwamba hakuna mgogoro. Then unasema zihifadhiwe ili iwe nini? Tanzania wanataka kuuza labda useme Kenya wanataka kununua?
 
Sijawaelewa wachangia mada nidadavulieni kiduchu.. Tanzania haina sehemu za kuhifadhia hizo mali za nchi???? au
 
Wana JF naona mnataka kidogo kupotosha mada kwani mpaka source nimewapa sasa mnakuwawagumu nini kuelewa? Msichanganye na zile zilizokamatwa kule Vietinam na Uphilipino Hapana hii ni ishu ingine kabisa au niwape maaelzo ya zile zilizokamatwa katika nchi nilizotaja?? kwani zile zilizokamatwa kulikuwa na agreement katika ya Tanzania, Kenya and Zambia, na hii ni Ishu Current kabisa fuatilia VOA
 
hakuna sehemu ya kuhifadhi pembe za ndovu tanzania? Duh!

Kwa unahitaji nini kuhifadhi hiyo mali ya nchi mpaka wapewe manyang'au?

Itafika siku tutasema hatuna pa kuhifadhi dhahabu na almasi za nchi yetu..really are we serious?

yale yale ya samaki wa maghufuli. Wanatafuta mhindi wa kuzitunza hizo pembe
 
Wacha1 mkubwa weka source basi tujiridhishe kwani unajua hili suala ni nyeti sana sio kulichukulia kimzaha mzaha
 
Haya mambo ya kuungana ungana ndiyo yanaleta matatizo yote haya, kwani Mungu aliyetenganisha kila mtu na sehemu yake alikuwa hana akili????!!! acheni hizo
 
Hapa ni Comperative kwa kila Nchi hivyo kuhusu biashra ni lazima kuacha kila Nchi ifanye vile inavyojua kuliko kuwa hivi Tanzania endelea kuuza na kuunza kufanya biashra hiyo bila ufisadi katik yake
 
Wacha1 mkubwa weka source basi tujiridhishe kwani unajua hili suala ni nyeti sana sio kulichukulia kimzaha mzaha

Hii story ipo kuna member moja anasema hakuna mgogoro wowote pengine yeye ni Mkenya au ana sababu maalum.

Links hapa chini:

Tom Mosoba said:
A seemingly innocent and procedural proposal by the government to sell 90 tonnes of its ivory stockpiles has taken an unexpected twist that could return to haunt the nation in the long run. Keen on pushing through with the sale to raise an estimated $15 million in much needed revenues, the government has, however, come under severe criticism that is threatening the country's image in the international arena. Interestingly, even though Zambia has made a similar proposal, it is Tanzania that has attracted much of the scrutiny, with influential media in the UK and US accusing the country of seeking to abet elephant poaching and illegal trade in banned trophy.

Alarmed by the negative portrayal in the campaign to block Tanzania and Zambia, tourism investors are warning that the matter could destabilise the fledging tourism sector. The investors are raising the red-flag as some foreign governments and conservation and animal rights groups converge on a platform to intensify calls to tighten the noose on ivory trade and smuggling to stop elephant poaching.

The chairman of the Zanzibar Association of Tourism Investors (Zati) Mr Mohammed Simai says that the campaign will impede Tanzania's efforts in recent years to promote tourism, including game viewing in prominent national game reserves like Selous, Serengeti and Ngorongoro. "As private investors in tourism, we are foreseeing problems in this push to sell ivory. The choice of our game reserves as preferred destinations by high end tourists from the UK and US will be undermined by campaigns linking the country with elephant killing and smuggling," warned Mr Simani.

He told The Citizen that Zati members on Wednesday wrote to the Union and Zanzibar Governments to urge for shelving of the proposal to sell the 90 tonnes of ivory for the sake of avoiding negative publicity that will hurt the industry. "We are urging President Jakaya Kikwete to intervene and stop the move to sell the ivory,"Mr Simani said in a telephone interview from Zanzibar. He said the furore that followed the revelation did not portend well with tourism promotion and regional trade objectives. He said Zati as a member of the Tourism Confederation of Tanzania (TCT) has forwarded its concerns to the agency and demanded that prudent decisions to safeguard the country's tourism image be taken over the ivory saga.

"Some international environmental and animal protection campaigners are already sending warnings that Tanzania risked blacklisting as a preferred game viewing spot if it pushed through the sale of seized elephant tusks," cautioned Mr Simani. The TCT executive secretary Mr Richard Rugimbana confirmed on Wednesday that the body had held a meeting of members over the matter but said no concrete outcome had been reached.

"We are still consulting and have not come to a common position with the many other authorities involved," Mr Rugimbana said. Mr Simani warned that the tourism sector that was recovering from a decline caused by the global economic crisis last year does not deserve another round of controversy. "I urge the government to act on the long term interest of this vital sector and drop its case at the Cites meeting," he said. The Zati chairman noted that the $15 million envisaged from the sale was a drop in the sea compared to potential tourism arrival loses were campaigners to dissuade visitors from touring due to poaching and smuggling concerns. Tanzania earned $1.3 billion (Sh1.6 trillion) in 2008 from 642,000 tourists to account for 17.2 per cent of the GDP.

What we are doing is digging a well while we are still in a hole. Tanzanias positive image that has been achieved through investment of millions of shillings is bound to suffer if we are branded as supporting activities that promote poaching, said Mr Simani adding that Zanzibar would lose heavily because 30 per cent of foreigners who end there were game viewing tourists. The call by Zati, is the first local opposition to the move by the government and coincided with a visit by a delegation from the UN Convention on International Trade in Endangered Species (Cites) to assess if the country deserved a stockpile trade window. Cites was established to check practices that threatened endangered animals species across the world and in 1989 banned the sale and trade in ivory to protect the African Elephant whose population was under siege from marauding poachers. A growing demand for ivory in Japan and China was blamed for fuelling a smuggling syndicate worldwide.

But arguing that its elephant population was safe and on the rise, the government has asked Cites to allow controlled trade in legal ivory exports. The application alongside that of Zambia would be decided at the Cites conference in Qatar in March. Tourism and Natural Resources minister Ms Shamsa Mwangunga has indicted that the government would match on with it agenda. She noted that the sale proceeds would be used in conservation efforts and help fight poaching.

But her stance has attracted opposition from East Africa Community partners Kenya and Rwanda, and angered several other western countries and conservation groups that are campaigning to block an approval by Cites. Britain's Environmental Secretary Mr Hilary Benn declare on Monday that UK will vote against Tanzania and Zambia at the Doha conference after pilling pressure from Members of Parliament and the media. The 'Times' this week wrote "Tanzania has established itself as the leading country for the illegal slaughter and export of ivory."It reported that up to 50 elephants were killed every month at Selous national reserve, and "the authorities are torching the carcasses to cover it up."

It also quoted a DNA research that established that recent seizures of smuggled trophy were from Tanzanias elephant species. Other countries that have called for a 20 years ban as the strongest possible international moratorium on trade in ivory at last week's Brussels meeting ahead of the Qatar conference include Mali, Benin, Central African Republic, Chad, Ethiopia, Ghana, Guinea, Guinea Bissau, Mauritania, Niger, Nigeria, Senegal, Togo, Liberia, Sierra Leone, Republic of Congo and Government of Southern Sudan. Namibia is the only country that has openly declared support for the proposal. "We will support Tanzania and Zambias proposal because it is in line with our philosophy of utilising our natural resources sustainably," Dr Kalumbi Shangula, the Environment and Tourism Permanent Secretary was reported as saying.

Washington based Species Survival Network (SSN) and Humane Society International, a protectionist charity also based in the US protested a new trade window would boost poaching and fuel illegal trade in trophy around the world.

http://www.thecitizen.co.tz/newe.php?id=17114

Another one ... ...

2nd February 10

Namibia backs Tanzania in ivory sale row with Kenya

The Guardian Reporter said:
The row over ivory sales deepened with Kenya Wildlife Service (KWS), a government agency, saying here Friday that Namibia had thrown its weight behind Tanzanian and Zambian proposals for one-off sale of their elephant tusks stockpiles. In a statement, obtained by PANA, KWS said the decision by Southern African elephant range states was ill timed, as it would scale up poaching and illegal trafficking in ivory products. KWS Assistant Director and Head of Species Conservation, Patrick Omondi, said the proposal lined up for deliberations during the UN Convention on International Trade in Endangered Species (CITES) of Wild Fauna/Flora at 15th Conference of Parties (COP15) to be held in Doha, Qatar, would escalate the decimation of elephants and rhinos by illegal trophy hunters. 'The medium-term survival of the African elephant is on the line and this is no time for the European Union to take a low-key stance. We expect them to do the right thing,' Omondi said as Kenya intensified resistance that has already enlisted the support of the UK and expect similar responses from mainly members of the EU, who Nairobi accused of prevarication.

Namibia announced on Friday it would vote with Tanzania and Zambia during the Doha conference. "We will support Tanzania and Zambia's proposal because it is in line with our philosophy of utilising our natural resources,' said Dr Columbia Shingle, the Permanent Secretary in the Ministry of Environment and Tourism. The Namibia position is likely to be the stand of the Southern African Development Community (SADC), to which both Tanzania and Zambia belong. The rift between the African Elephant Coalition (AEC), a grouping of 37 countries, widened as a UN panel overseeing CITES began the inspection of Tanzania's ivory stockpile, which the government intends to auction.

Tanzania's Natural Resources and Tourism deputy minister, Ezekiel Maige, had earlier told the local press that CITES officials were working with local wildlife experts on how the country could sell off about 90 tonnes of ivory that had been stored for about two decades. Zambia's quantity is 23 tonnes.
Maige said the disposal of the ivory stockpile was necessitated by high costs of its security, saying it is 'unbearably high and storage facilities are hard to come by'. Among the countries opposed to the proposal of the move by Tanzania and Zambia are Congo, DR Congo, Ghana, Liberia, Mali, Rwanda and Sierra Leone. Omondi maintained the Kenyas position that has not changed since 1986 when the elephant was up-listed to CITES Appendix I, a category of species threatened with extinction.

Appendix II is the category of endangered species but in which controlled utilization is permitted under international trade mechanisms.
The KWS director said gruesome, deadly poaching was in full resurgence all across Africa on account of recent sales of ivory, approved by CITES for some southern African states, providing perfect cover for the unlawful trade in poached ivory to on.

"It is out of the question that the international community countenance renewed sales of ivory in the next 15 to 20 years when elephant populations are literally about to go extinct in countries like Sierra Leone and Chad.


THE GUARDIAN
http://www.ippmedia.com/frontend/fun...le.php?l=13112

Aliyesema hakuna utata atwambie wapi walipokubaliana .... ..
 
-Hawa Kenya waache zao,hawa wanakuaga na mbinu chafu sana.Kama siku moja nitakua rais wa hii nchi ni kuhakiksha naingiza mashushu huko kenya kupata dataz na nitawachukulia hatua kali za kibiashara ktk propaganda na sekta ya utalii
 
'Enyi Wadanganyika ..., ambao mkataba na Sheria ya EAC imeweka wazikwamba Tanzania haina tena mamlaka ya kujiamulia mambo yake yenyewe kwenye utalii, wanyamapori na maliasili NYINGINE ZOTE, kwa vile, kama ambavyo imekabidhi sovereignty yake to EAC, maliasili na utalii si tena mali ya Tanzania pekee :
"Dr Nangale [EALA MP from Tanzania] said EAC members decided to form a new tourism law so that they can have one tourism Act...

He said a new commission, called the East African Tourism and Wildlife Commission, would be established under the new law.

The commission would be charged to coordinate policy formulation and regulations, promote resource based policies within the region, approve formula of sharing of proceeds or revenues amongst partners states, promote tourism in East Africa as an integrated industry and a single tourist destination and oversee the protection of historical sites for tourist interest.

The commission would also manage wildlife systems in the region and ensure that wildlife assets are sustainably maintained for posterity.

Sioni kwa nini mnapiga kelele wakati Tanzania inapozuiwa kuuza pembe za ndovu! Kwa sababu Tanzania imesaini kwamba kila kitu ilichonacho si mali yake pekee tena! See those reported quotes.

Surely, reading the actual Act may yield even more surrender of what used to be our very own Republic of Tanzania.

As the British say, 'Put up or shut up' -- either let's get out of this mess *NOW* or let's just in a docile way watch our country crumble unceremonially...
 
So, the news media give unwarranted credit to Tanzania as to mean there has been any row... which row? Tanzania has accepted that *ALL* natural resources are no longer Tanzania's, but EAC's. Last time I checked out, elephants and their tusks are a subset of wildlife which we cannot manage alone...
 
Back
Top Bottom