Mabibi na mabwana moja kwa moja kwenye mada.
Kenya na Tanzania ni mataifa mawili ambayo ni distinct sovereign states. Jambo la heri kabisa katika mstakabala wa kuishi kwa utengamano na kufahamiana.
Kama taifa kila moja lina haki zote katika nchi yake.
Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kwa uamuzi wowote ndani ya nchi moja kuwa hoja ya majadiliano haswa, yenye kubeza kutokea nchi nyingine. Angalau bora ingekuwa majadiliano yenye kupongeza.
Kila mtu na apambane na hali yake. Yote kheri.
"Kwamba Kenya kama nchi ina vigezo vyake vya kuwahami au kutowahami raia wake (au kwa kujifariji tu) dhidi ya ugonjwa mbaya wenye kuambukiza na hata kuuwa." Kwanini hilo liwe subject of any discussion in Tanzania likihusisha watu wenye akili zao?
"Kwamba Tanzania kama nchi ina vigezo vyake vya kuwahami au kutowahami raia wake (au kwa kujifariji tu) dhidi ya ugonjwa mbaya wenye kuambukiza na hata kuuwa." Kwanini hilo liwe subject of any discussion in Kenya likihusisha watu wenye akili zao?
Kwamba wanaoyashadadia maamuzi ya Kenya hapa kwetu hawayajui haya? Thubutu? Tunayo yaona hapa kuhusiana na huu ugonjwa, mwungwana mmoja aliandika:
Wanayajua vyema bali hii ni janja ya nyani tu, kujaribu ku deviate attention kutoka kwenye matatizo halisi yaliyopo hapa nyumbani. Yaani:
1. Poor handling ya huu ugonjwa.
2. Hali halisi ya sasa kuelekea October 2020.
Ifahamike kuwa ukakasi uliopo katika mawili hayo, kwa hakika si chamtoto tena.
Kenya hata ikisitisha ndege zote duniani kwenda kwake kwa sababu zozote zile, sisi inatuhusu nini?
Ni vizuri wakafahamu kuwa tunawaona na hatudanganyiki!
Kenya na Tanzania ni mataifa mawili ambayo ni distinct sovereign states. Jambo la heri kabisa katika mstakabala wa kuishi kwa utengamano na kufahamiana.
Kama taifa kila moja lina haki zote katika nchi yake.
Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kwa uamuzi wowote ndani ya nchi moja kuwa hoja ya majadiliano haswa, yenye kubeza kutokea nchi nyingine. Angalau bora ingekuwa majadiliano yenye kupongeza.
Kila mtu na apambane na hali yake. Yote kheri.
"Kwamba Kenya kama nchi ina vigezo vyake vya kuwahami au kutowahami raia wake (au kwa kujifariji tu) dhidi ya ugonjwa mbaya wenye kuambukiza na hata kuuwa." Kwanini hilo liwe subject of any discussion in Tanzania likihusisha watu wenye akili zao?
"Kwamba Tanzania kama nchi ina vigezo vyake vya kuwahami au kutowahami raia wake (au kwa kujifariji tu) dhidi ya ugonjwa mbaya wenye kuambukiza na hata kuuwa." Kwanini hilo liwe subject of any discussion in Kenya likihusisha watu wenye akili zao?
Kwamba wanaoyashadadia maamuzi ya Kenya hapa kwetu hawayajui haya? Thubutu? Tunayo yaona hapa kuhusiana na huu ugonjwa, mwungwana mmoja aliandika:
Wanayajua vyema bali hii ni janja ya nyani tu, kujaribu ku deviate attention kutoka kwenye matatizo halisi yaliyopo hapa nyumbani. Yaani:
1. Poor handling ya huu ugonjwa.
2. Hali halisi ya sasa kuelekea October 2020.
Ifahamike kuwa ukakasi uliopo katika mawili hayo, kwa hakika si chamtoto tena.
Kenya hata ikisitisha ndege zote duniani kwenda kwake kwa sababu zozote zile, sisi inatuhusu nini?
Ni vizuri wakafahamu kuwa tunawaona na hatudanganyiki!