Tanzania, Kenya kama mataifa huru ya kongole kwenu

Ok
Pia hata kenya wanajadili watanzania. Na wao unawaambiaje kwenye forum zao?
By the way Kenya au Tanzania wakijadili inakuathiri au inaathiri nn?
Yaani sawasawa na kelele za mbu nje ya neti. Ila kelele za mbu ndani ya neti zikimsumbia mhusika atajijua

Sina hakika kama uliisoma mada yote. Ila katika bandiko lile kuna haya:

"Kwamba Tanzania kama nchi ina vigezo vyake vya kuwahami au kutowahami raia wake (au kwa kujifariji tu) dhidi ya ugonjwa mbaya wenye kuambukiza na hata kuuwa." Kwanini hilo liwe subject of any discussion in Kenya likihusisha watu wenye akili zao?

Ngoswe anaweza kuwa Tanzania au Kenya. Ngoswe na aachiwe yake ndiyo msingi wa hoja labda kama wewe hudhani hivyo.

Majukwaa ya Kenya, Burundi, Bosnia au Tasmania yananihusu nini mimi?

Pili pili msizozila vipi ziwawashe?
 
Pimbi kwelikweli...analazimisha mawazo yake kila mtu ayakubali

Pimbi hasa wala jinsia ile nyingine ngeni hudhani ni bora zaidi ya wale wenye jinsia za kawaida.

Hayo ndiyo maajabu ya Firauni.
 
We connect tu! Usipate shida, vikigoma badilisha, vikikataa kabisa achana navyo. Point ilikuwa ni kumuonesha brazaj tukisema Wakenya wanahusda hatuangalii onyango na njuguni tunaangalia muelekeo wa sera zao na maamuzi yao Kama Taifa. Na sio kitu kigeni kuonesha Hilo nimetumia mifano ya kusini mwa Afrika jinsi walivyoneglect katika kutunza historia ya ukombozi...ambazo nadhani ni juhudi za makusudi.

Supu ushakunywa!?

Ya Ngoswe na aachiwe Ngoswe mwenyewe ndiyo msingi wa mada kama hauko huko uko kwenye mada nyingine, hoja nyingine, uzi mwingine, nk, kama unavyoweza kupotea njia au hata choo na kuingia cha jinsia nyingine.

Jiridhishe kuwa uko kwenye mada vinginevyo tafuta uzi wa kuoanisha hoja zako au hata kufungua uzi mpya.

Kama na supu umekunywa na bado kulia hata kushoto kwako hupajui wahi hospitali inaweza kuwa umechanganya supu kwa chibuku.
 
Ya Ngoswe na aachiwe Ngoswe mwenyewe ndiyo msingi wa mada kama hauko huko uko kwenye mada nyingine, hoja nyingine, uzi mwingine, nk, kama unavyoweza kupotea njia au hata choo na kuingia cha jinsia nyingine.

Jiridhishe kuwa uko kwenye mada vinginevyo tafuta uzi wa kuoanisha hoja zako au hata kufungua uzi mpya.

Kama na supu umekunywa na bado kulia hata kushoto kwako hupajui wahi hospitali inaweza kuwa umechanganya supu kwa chibuku.
We connect tu ikikupa shida unaacha.... mbona ugumu!? Unipangie niongee wapi tena!?
Acha kufoka brazaj

We see the same but differ in interpretation. Na Mwenye maana haambiwi......?! Sasa baki na uelewa wako na Mimi nabakia na Wangu ...
 
We connect tu ikikupa shida unaacha.... mbona ugumu!? Unipangie niongee wapi tena!?
Acha kufoka brazaj

We see the same but differ in interpretation. Na Mwenye maana haambiwi......?! Sasa baki na uelewa wako na Mimi nabakia na Wangu ...


Kiswahili kigumu jombi. Yaonyesha u bingwa wa kujitekenya na kujichekesha mwenyewe.

Kuna tofauti ya kufokewa na kukumbushwa.

Hali kadhalika kuna tofauti kubwa baina ya kuchangia unachotaka na kuwa nje ya mada.

Jiridhishe kuwa kiswahili unaelewa. Shemeji yako hapa anatokea kanda pendwa, mara moja moja hunisaidia kutafsiri. Jisikie huru kuhitaji lugha uliyonayo uhodari zaidi.
 
Mr Corona anawatia njaa na thread zake za kipuuzi kipuuzi za Corona,anapiga ramli mwezi wa tatu huu,kichwa kawapa wazungu kiwiliwili kipo Tanzania,hawezi kufikiria ktk mazingira yake ya liomzunguka,mara fulani kafanya hivi,wale wamefanya vile.......
 
Unapoficha ukweli kwa watu wako wa ndani na nje (hasa kwa ugonjwa wa hatari) lazima uogopwe kama ukoma. Kenya wameshtuka. hawana uhakika na kinachoendelea. Kwa nini unapokuwa na matatizo usisemwe. Ukisemwa una-react. lazima watu wajadiri
Ugonjwa unafichika????
Tena ugonjwa wa mlipuko, unafichika??
 
Kenya ana haki ya kuwahami raia wake kama anavyoona inafaa.

Kujaribu kujifariji, kuuficha, kuukimbia huu ugonjwa haisaidii. Hakuna asiyeujua ukweli huo. Kilichopo hapa chini kutuhusu sisi ni sahihi:

View attachment 1523518

Tuna matatizo ya ndani:

1. Poor handling ya ugonjwa
2. Siasa kuelekea October 2020

Zingine ni jitihada za kuhamisha magoli.
Ugonjwa unafichika????
Tena gonjwa lenyewe la mlipuko, unafichika???
 
IMG_20200807_211839.jpg
Screenshot_2020-08-07-19-30-23-842_com.facebook.katana.jpg
 
Ugonjwa unafichika????
Tena gonjwa lenyewe la mlipuko, unafichika???

Kwamba basi ugonjwa ulikwisha?

Labda kama ndiyo kwanza utakuwa umerejea kutoka anga za juu.

Lakini hata mtoto mdogo achilia mbali jiwe wanajua mwendo ni kutokutoa takwimu - kuficha hali halisi.
 
Kwamba basi ugonjwa ulikwisha?

Utakuwa umerejea kutoka anga za juu.

Hata mtoto mdogo achilia mbali jiwe wanajua mwendo ni kutokutoa takwimu - kuficha hali halisi.
"achilia mbali jiwe ....."

Kumbe Mr Corona mwanasiasa,kwa hiyo hii corona ni agenda ya kisiasa kwako,ndio maana unang'ania mwezi wa tatu.

Wewe piga ramli ila mwisho siku, huu ugonjwa tunaishi nao kama tunavyo ishi na malaria ,ukimwi na magonja mengine,so maisha na shughuli za kutupatia riziki lazima ziendelee kama kawaida.
 
Back
Top Bottom