Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,472
- 215,294
umechemsha !Mpumbavu wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umechemsha !Mpumbavu wewe.
Mungu wabariki nyumbu.umechemsha !
unatia aibu sana ! lumumba nzima umebaki wewe tu !Mungu wabariki nyumbu.
Kwani kuna tatizo. Ufipa nzima umebaki wewe tu, hujioni? Mungu wabariki nyumbu.unatia aibu sana ! lumumba nzima umebaki wewe tu !
Mkuu moto kwenye hifadhi hauwashwi kiholela unawashwa kwa mda maalumu na watu maalumu.Kawaida?
Embu nenda mikumi pale washa moto mbugani
Hawa majirani hovyo kabisa kila kitu kulialia wakiendelea hivyo tupige fensi kabisa tubaki na nyumbu wetu,wao wanafikiri tuna wivu wakiondoka hao wa maasai mara tunabaki na wa ufipa kwa ujumla tuna hazina kubwa ya nyumbu.Moto Serengeti: Tanzania yakanusha madai ya kuwazuia nyumbu kwenda Maasai Mara nchini Kenya
Serikali ya Tanzania imesema uchomaji moto kwenye hifadhi ni jambo la kawaida
Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari kuwa mamlaka za hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania zimefanya hujuma kuchoma moto eneo la hifadhi ili kuzuia nyumbu kuvuka kuelekea nchini Kenya.
Msemaji wa Wizara ya mali asili na utalii, Dorina Makaya amesema madai haya ''si ya kweli'' kinachoendelea ni uchomaji wa kawaida wa awali ambao unaoendelea kwa awamu, linalofanywa lina lengo kuzuia majanga ya moto kutoka nje ya hifadhi ambayo yanaweza kufikia ndani ya hifadhi.
Dorina amesema uchomaji wa moto unaofanyika hufanyika kitaalamu ili kuwezesha kuota kwa majani mapya kwa ajili ya malisho yao, pia kupunguza majani mengi ambayo huwafanya watalii kutoona vizuri wanapofika kutembelea hifadi ya Serengeti.
Pia inasaidia kuua wadudu mbalimbali kama Mbung'o na wadudu wanaoshambulia wanyama.
Msemaji wa wizara hiyo amesema hakuna uthibitisho wa Kisayansi kuwa kuchoma majani kunazuia Nyumbu kushindwa kwenda Masai Mara.
''Safari ya Nyumbu ni utaratibu wao wa asili , sababu pekee inayoweza kusababisha kuchelewa kwa Nyumbu kwenda Kenya inawezekana ni kutokana na mvua upatikanaji wa maji ya kutosha huwafanya kuendelea kubaki palepale kwa sababu wanapata maji ya kutosha''.
Watalii wakiwafuatilia nyumbu katika hifadhi ya taifa ya Maasai Mara
''Kwa kuwa Tanzania imepata mvua kwa kipindi kirefu hivyo inawezekana kabisa kuwa Nyumbu wanaweza kuchelewa kuhamia Kenya msimu huu," alieleza Dorina.
''Zoezi la uchomaji majani kwenye hifadhi ni la kawaida ambalo hufanyika Tanzania lakini pia hata Maasai Mara hufanyika hayo pia''.
Taarifa zilisema kuwa moto huo uliodaiwa kuwa mkubwa ulielezwa kuwa uliwaka kwa takriban juma moja, umezuia mamia ya Nyumbu kutoka Serengeti kuvuka mto na kuingia Kenya.
''Mamia ya ekari katika eneo hilo la hifadhi lililo Kaskazini mwa Tanzania bado yanateketea kwa moto na kuwazuia Nyumbu hao kuvuka'' Ilieleza sehemu ya taarifa .
Askari wa nyama pori na Hifadhi ya taifa ya Tanzania( TANAPA) wamenyooshewa kidole, wakishutumiwa kuwasha moto katika hifadhi ya Serengeti ili wanyama wasifike katika hifadhi ya Masai Mara, inayopakana nayo
Mkuu wewe uko under 18 kwani? Nani kakuzuia kuondoka nchini? Tafuta Uraia wa popotenaogopa kukufuru Mungu , lakini huwa najiuliza ni kwanini Mungu aliamua nizaliwe kwenye nchi ya kishamba namna hii ?
Hawa majirani hovyo kabisa kila kitu kulialia wakiendelea hivyo tupige fensi kabisa tubaki na nyumbu wetu,wao wanafikiri tuna wivu wakiondoka hao wa maasai mara tunabaki na wa ufipa kwa ujumla tuna hazina kubwa ya nyumbu.
Hivi we hufunyi kazi unashinda jf?kina topic una commnet au buku7 zinakuwa double siku hizi?14000?Kwani kuna tatizo. Ufipa nzima umebaki wewe tu, hujioni? Mungu wabariki nyumbu.