Nani aliyekwambia ni bikra hao?
Dr Thomas Kashilila wa bunge akijibu maswali kwa wasichana bikira wa kiislam !!!
Hapo kwenye red ni chuki binafsi au?????? Yaani hukuweza kutoa point yako hadi kwanza udhalilishe watu???????? Halafu unajaribu kuongea kitu gani hapo kwenye bluu. Hivi inahitajika kila mtu aathirike ili tatizo liwe tatizo gr8 thinker?????tena hao ndo wanatoa hadi kusikotakiwa hao. barabarani wanavaa ushungi, wakipiga chemba, wanajisasambua kitangatanga hadi mwisho.tatizo lako wewe mtoa mada ni roho ya kubakabaka iliyokujaa, aliekwambia kila atakayemwona mwanamke hajavaa kama unavyofikiri wewe atatamani kubaka ni nani? kuna mtu duniani hapa anapenda kubaka mtu?..utapata raha gani kumwingilia mwanamke wakati hajajiandaaa na hatoi ushirikiano?...
tatizo lenu, mnakuwa na imani potofu kuwa, dhambi inakaa mwilini, kumbe dhambi inakaa rohoni. hata ukivaa nguo ya chuma mwili mzima ukaacha vijicho tu, kama rohoni unasukumwa kuzini utazini tu na minguo yako ya minyororo.
Dr Thomas Kashilila wa bunge akijibu maswali kwa wasichana bikira wa kiislam !!!
nimependa ufananisho wako!!we umejuaje ni bikra hao. Huo ni mfuniko tu, usdhani ndani
kuna nyama ukaja kuta maharage na yamechacha
jamani hao mabinti wanaonekana ni wema kabisa hata sura zao zinaonyesha. ni sahihi walivyoambiwa hivyo na huyo mheshimiwa.