Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,435
- 4,150
You wanna combat a global malady? You need to fight SMART! Sio unaingia mpambano kichwakichwa tu na makelele mengi kama unashabikia mechi za mchangani. Waliowahi kumsikiliza Uhuru Kenyatta akiwajibu CNN kuhusu haki za mashoga Kenya kuna kubwa la kujifunza. CNN wenyewe walimvulia kofia baada ya kushindwa kulazimisha hoja ya kumkubalisha kuwa Kenya kuna “suala” la mashoga. Sasa kwetu, kiongozi kaishia kukiri mwenyewe kuwa mashoga wanakubalika nchini - wasiwe na wasiwasi! Kesha sahau kuwa kwa sheria za nchi ushoga ni jinai. How dumb!