NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,238
- 16,678
Wakuu!
Tumechelewa Sana kupata maendeleo ya kweli nchini tangu tupate uhuru kwa kuwekeza fedha nyingi kwenye siasa kuliko miradi ya uzalishaji.
Nchi yetu iliamua kuwa kupiga domo kwenye siasa NDIO kulipe Sana kuliko utafiti wa mbegu Mpya za kilimo na ufugaji pale SUA.
Miradi ya uzalishaji kama kilimo na mifugo na wadau wake sio kitu chenye tija KWA nchi yetu wala fungu lake la pesa ni dogo ukilinganisha na mishahara ya kuwalipa wabunge na mawaziri na wafanyakazi ndani ya vyama vya siasa!
Uchawa,upiga domo kwenye vyombo VYA habari unalipa zaidi kuliko utafiti wa kiprofesa unaohusu uzalishaji na vitengo vyake katika nchi yetu!Mfumo huu tulio ikea toka uhuru umezalisha kundi kubwa Sana la wazalendo wa kwenye maiki kuliko wazalendo wachapakazi na kudumaa kea maendeleo yetu.
KAZI za kitaaluma zinabezwa na wasomi wenyewe na kukimbilia siasa zinazo lipa sana hapa nchini. Kuna haja KWA WENYE nchi na MAMLAKA yao kuja na sera Mpya za uwekezaji kwenye uzalishaji kuwe na tija na malipo makubwa Sana kuliko siasa na kuzifanya siasa kuwa KAZI ya KAWAIDA Sana kiasi KWAMBA watanzania hawatokua na ndoto za kupigania siasa bali ndoto za uzalishaji.
Kama Taifa tumetengeneza vita kubwa ya kusaka madaraka ya kisiasa tena KWA baadhi ya Koo zenye historia ya kisiasa na uongozi kuliko vita vya ushindani vya uzalishaji KWA kuwekeza mapesa meengi kwenye malipo ya kisiasa kuliko uzalishaji na tafiti za kisayansi kuhusu uchumi na maendeleo.
Leo kuna wazee wanawaza kupigana kufa na kupona Ili watoto WAO wawe Wana siasa wakubwa nchini kuliko kuwahimiza wafanye KAZI kubwa ya uzalishaji na tafiti kea KUTUMIA elimu zao!!!Kundi la wanasiasa ni la WACHACHE Sana na hawapaswi kulipwa mamilioni mengi ya pesa kuliko wadau wa uchumi na uzalishaji waliopo kila sehemu ya nchi yetu!
Tupate wapi kijana mzalendo atakaeingia ikulu na kubadili mfumo huu mbovu uliopo!!? Yaani atakaeshusha mishahara ya wanasiasa KWA asilimia 75% Ili fedha zote zielekezwe kwenye miradi ya uzalishaji na wadau wa uzalishaji kuliko Sasa!!?
Ni jambo la kushangaza eti vyama vya siasa vilivyopo nchini kwa zaidi ya miaka 20 havina hata kiwanda cha mafuta ya kula,nguo na n.k Hadi sasa vimebaki kupiga domo tu kuliko kushiriki KAZI za uzalishaji Ili vipate uungwaji mkono WENYE tija kwa wananchi!!!
Nadhani kuna haja WENYE MAMLAKA kufanya jambo kwenye hili!!Ili tupate wazalendo wa kweli na sio Hawa wazalendo wa kwenye maiki!!!
Tumechelewa Sana kupata maendeleo ya kweli nchini tangu tupate uhuru kwa kuwekeza fedha nyingi kwenye siasa kuliko miradi ya uzalishaji.
Nchi yetu iliamua kuwa kupiga domo kwenye siasa NDIO kulipe Sana kuliko utafiti wa mbegu Mpya za kilimo na ufugaji pale SUA.
Miradi ya uzalishaji kama kilimo na mifugo na wadau wake sio kitu chenye tija KWA nchi yetu wala fungu lake la pesa ni dogo ukilinganisha na mishahara ya kuwalipa wabunge na mawaziri na wafanyakazi ndani ya vyama vya siasa!
Uchawa,upiga domo kwenye vyombo VYA habari unalipa zaidi kuliko utafiti wa kiprofesa unaohusu uzalishaji na vitengo vyake katika nchi yetu!Mfumo huu tulio ikea toka uhuru umezalisha kundi kubwa Sana la wazalendo wa kwenye maiki kuliko wazalendo wachapakazi na kudumaa kea maendeleo yetu.
KAZI za kitaaluma zinabezwa na wasomi wenyewe na kukimbilia siasa zinazo lipa sana hapa nchini. Kuna haja KWA WENYE nchi na MAMLAKA yao kuja na sera Mpya za uwekezaji kwenye uzalishaji kuwe na tija na malipo makubwa Sana kuliko siasa na kuzifanya siasa kuwa KAZI ya KAWAIDA Sana kiasi KWAMBA watanzania hawatokua na ndoto za kupigania siasa bali ndoto za uzalishaji.
Kama Taifa tumetengeneza vita kubwa ya kusaka madaraka ya kisiasa tena KWA baadhi ya Koo zenye historia ya kisiasa na uongozi kuliko vita vya ushindani vya uzalishaji KWA kuwekeza mapesa meengi kwenye malipo ya kisiasa kuliko uzalishaji na tafiti za kisayansi kuhusu uchumi na maendeleo.
Leo kuna wazee wanawaza kupigana kufa na kupona Ili watoto WAO wawe Wana siasa wakubwa nchini kuliko kuwahimiza wafanye KAZI kubwa ya uzalishaji na tafiti kea KUTUMIA elimu zao!!!Kundi la wanasiasa ni la WACHACHE Sana na hawapaswi kulipwa mamilioni mengi ya pesa kuliko wadau wa uchumi na uzalishaji waliopo kila sehemu ya nchi yetu!
Tupate wapi kijana mzalendo atakaeingia ikulu na kubadili mfumo huu mbovu uliopo!!? Yaani atakaeshusha mishahara ya wanasiasa KWA asilimia 75% Ili fedha zote zielekezwe kwenye miradi ya uzalishaji na wadau wa uzalishaji kuliko Sasa!!?
Ni jambo la kushangaza eti vyama vya siasa vilivyopo nchini kwa zaidi ya miaka 20 havina hata kiwanda cha mafuta ya kula,nguo na n.k Hadi sasa vimebaki kupiga domo tu kuliko kushiriki KAZI za uzalishaji Ili vipate uungwaji mkono WENYE tija kwa wananchi!!!
Nadhani kuna haja WENYE MAMLAKA kufanya jambo kwenye hili!!Ili tupate wazalendo wa kweli na sio Hawa wazalendo wa kwenye maiki!!!