Tanzania is not peaceful but has corwards

mwanza_kwetu

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
693
181
Yes. Fuatilia taarifa mbalimbali utaona Tanzania haipo kabisa ktk nchi zilizo na amsni pamoja na kuwa tumepata uhuru bila kumwaga damu pia tumesaidia waafrika wenzetu kupata uhuru. Na inaangaliwa kwa vigezo vingi sana ikiwemo utengemano wa kisiasa na vivutio mbalimbali vilivyotunzwa kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo. Hata ktk nchi 15 haipo naendelea kutafiti nchi yetu ambayo hata ushindi wa chama tawsla kisingizio cha kutunza amani ya nchi. Ni amani ipi inayoongelewa na wakati mwingine kujisifia kimataifa.

http://travel.amerikanki.com/most-peaceful-countries-in-the-world/

Hii inadhihirisha majivuni yaliyopo kuhusu amani ni kwa sababu ya uelewa mdogo walionao wananchi kitaifa ba kimataifa. Ukiacha yote ya ufisadi,unafiki, usaliti, ukisefu wa uzalendo, wizi, ukatili, ukaburu wa watu weusi hatuna cha kujivunia ndani na nje ya nchi. Wewe GT unasemaje ktk hili la amani ni kwa ajili ya kurubuni wananchi ili kuendelea kutawala kutokana na upungufu wa uelewa wa wananchi. Je ni nvhu ya watu waogs yaani cowards
 
Magurudumu Talk about issues. Hata hujasoma unaanza maswali na wewe kweli unastahili??? Soma then lets talk
 
Yes. Fuatilia taarifa mbalimbali utaona Tanzania haipo kabisa ktk nchi zilizo na amsni pamoja na kuwa tumepata uhuru bila kumwaga damu pia tumesaidia waafrika wenzetu kupata uhuru. Na inaangaliwa kwa vigezo vingi sana ikiwemo utengemano wa kisiasa na vivutio mbalimbali vilivyotunzwa kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo. Hata ktk nchi 15 haipo naendelea kutafiti nchi yetu ambayo hata ushindi wa chama tawsla kisingizio cha kutunza amani ya nchi. Ni amani ipi inayoongelewa na wakati mwingine kujisifia kimataifa.

15 Most Peaceful Countries in the World

Hii inadhihirisha majivuni yaliyopo kuhusu amani ni kwa sababu ya uelewa mdogo walionao wananchi kitaifa ba kimataifa. Ukiacha yote ya ufisadi,unafiki, usaliti, ukisefu wa uzalendo, wizi, ukatili, ukaburu wa watu weusi hatuna cha kujivunia ndani na nje ya nchi. Wewe GT unasemaje ktk hili la amani ni kwa ajili ya kurubuni wananchi ili kuendelea kutawala kutokana na upungufu wa uelewa wa wananchi. Je ni nvhu ya watu waogs yaani cowards

Wewe tulia ndugu yangu , tofautisha kati ya crimes, na amani ya nchi kama nchi. Angalia crimes zinazoendelea US kila siku teenagers wanaua wanafunzi na wananchi lukuki. Ama ingia ktk mitaa ya London uingereza uone watu wanavyouana ktk mitaa hiyo, ama nenda mitaa ya Roma ukakutane na Mafioso wakiitalia uone wanavyoua watu kila siku. Hizi ni crimes na huwezi sema hizi nch hazina amani sababu ya crimes.

Hapa nafikiri tuwe na busara kutofautisha Amani ya Tanzania tunayongelea, hii amani tunayongea haifungamani na independent crimes, hii amani tunayoongelea ni ile kama wanayokosa ndugu zetu wa Sudani kusini, ni ile inayowakumba ndugu zetu wa DRC, ni ile iliyowahi kuikosa na kuwakumbuka ndugu zetu wakenya, Rwanda, nk. Amani tunayongelea ni ile political instability na sio crimes. Na kama unaongelea crimes, basi hakuna nchi yenye amani kama Tanzania.
 
MkamaP thanks kwanza. Watu hawawezi kuwa na amani km hakuna drivers sa amani ktk nchi. Crime ulizotaja ni viashiria vya ukosefu wa amani na haiyumkiniki nchi hizo ulizotaja ziko mbali ktk rankings hivyo crimes km za kiserikali like operation tokomeza ni viashiria hai kuwa hakuna amani. Kila nchi ina level yake lakini je unaweza kusema leo hii Tanzania ina amani? Wananchi hawaishi kwa vitisho? Wana governing laws zinazoaminika? Wana demokrasia inayofanya kazi? Wana mfumo bora wa kuleta mapato ktk nchi na wao binafsi bila biassness au kuna layer ndio inafaidi hasa watawala na watoto wao? Sidhani km unaweza kuwa na crime then ukajisifu kwa kuwa na amani ndio maana km US, Obama hadi ametengeneza executive orders za kuthibiti crime ili kuziweka ktk urari kiutawala na kuziondosha km si kupunguza je sisi tuna urgency za aina hizo? ukipunhuza likelihood za crime ziwe za vita su planned ukaongeza upana wa demokrasia na ukaongeza law enforcement machinery na kuwafanya raia waamini kifumo hapi sasa unaongeza rate ya uwepo ws amani ila hapa Tanzania kinachoongezwa ni kwa kiadi gani hutaihoji serikali pia haiwrkezi ktk vivutio endelevu so watu hawana namna tu ya kufanya
 
Back
Top Bottom