Kwani umeambiwa huo uwanja ni wa kandanda pekee?Dodoma kwenyewe hamna timu ligi kuu
Ukiwa na uwanja huo unaweza kuleta mashindano ya dunia ya mbio,michezo ya all african games n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umeambiwa huo uwanja ni wa kandanda pekee?Dodoma kwenyewe hamna timu ligi kuu
Dom arusha ni jirani,kwa midege yetu hapo dk 30 tuSiyo Dodoma dah!!
Wangeujenga Arusha au Moshi ili siku tukiandaa AFCON, tuimarishe na utalii hapohapo. Pia, kuna hoteli nyingi around.
Dodoma bado sana, tena sana.
Huko wanafyatuana tu.Mhh lini? Dodoma kufika watu M5 Dar itakuwa M 30!Hii mass movement ya JPM imeongexa watu Kama Elfu 25! Hapa insjumuisha watumishi na fimilia zao! ...kumbuka Kati ya watumishi 15,000 walio hamia Dom,Ni asilimia SI zaidi ya 30 walihamis na familia zao!
Dodoma hakuna pull factor ya nguvu inayoleta nguvu kazi kutoka maeneo mengine ya nchi!
😁😁😁😁😁 Subiri takwimu mpyaMwanza sio mji mkuu ni jiji labda nadhani Jiji la Mwanza hulijui vizuri mkuu, sipingi ukuaji wa Dodoma ila nakushauri urudi tena kuichunguza Mwanza na population yake ndio uje utabiri tena isije ikawa unatika huko Buchosa unasema unatok Mwanza.
Si washauri katika hiyo tu, mipango mingi ktk 'inji' hii nina shaka kama huwa inajadiriwa na Baraza la mawaziri kupata maridhiano. Yaonekana ni uamuzi wa mtu mmoja, wengine huwa ni wasikilizaji tu.Wana andaa "GOFU" litakalojaa mapanyabuku kibao...
Wawaulize South Africa vile viwanja vyao wanafanya Nini Sasahivi... Sijui Hakuna Washauri ktk hiyo project...