Tanzania is among the heavily indebted poor countries (HIPC) - World Bank

Hio article ni ya 2013. Hata kama kwa mfano, tungekuwa failed state 2013, hakuna vile bado tunaweza kuwa failed state 2018. Miaka tano ni nyingi sana. Halafu hio firm haijulikani, kwa hivyo tafuta ripoti ya World bank, IMF au U.N uposti hapa ndio watu watakuchukulia serious, otherwise watu wataipuuza hio ripoti uchwara uchwara.
Kwahiyo Kenya ilipoingia kundi la lower middle income countries in 2014, imeshuka haipo tena huko?, muhimu ni vigezo kama vigezo vya failed State bado vipo hakuna jinsi mtatoka hill, niambie kati ya hivi vigezo vilivyowafanya muwekwe ktk kundi la failed States, kipi hakipo kwa sasa? Why Kenya could be among failed states
 
Bora tusiingie kwa hii ramani
LDC-2018.png
Why Kenya could be among failed states
 
Nchi maskini kama Tanzania hamfai kuwa heavily indebted maana hata miundo mbinu hamna, hivyo itawabidi mkope ili kuyafanikisha.
Leo hii ndio mnaanza kushangaa fly over ya kwanza.
Incase hujui ni kwamba kwa sasa Tanzania ndio infrastructural dominant in the region hilo ukae ukilitambua is the matter of upgrading statistics only and completion of several projects but Tanzania we have no competitor on that matter so far.
 
Ninashindwa sijui nikujibu nini kwa jinsi uwelewa wako ulivyo, labda unajifanya huelewi ukweli, nimesema nchi kujitosheleza sio kuzalisha hakula. Kuna njia kuu 2 za kujitosheleza kwa xhawula, 1)Kuzalisha chakula chako 2)Kuwa na uwezo wa kununua na kukipata wakati unapokihitaji, nchi yenyekutimiza haya yote mawili, haiwezi kukumbwa na njaa hadiqkufikia hatua ya kuomba na kupokea msaada wa chakula, nchi za Arabuni.
Msaada tunazipokea bila sisi kuomba. Nchi za uarabu zikitupa msaada, tunazichukuwa kwa maana sisi hatuna maringo. Hakuna siku Uhuru Kenyatta amewahi enda nchi yoyote kuomba msaada wa chakula. Sisi huwa tunanunua chakula kwa pesa yetu kutoka kwa ushuru wa Wakenya wenyewe.
 
Msaada tunazipokea bila sisi kuomba. Nchi za uarabu zikitupa msaada, tunazichukuwa kwa maana sisi hatuna maringo. Hakuna siku Uhuru Kenyatta amewahi enda nchi yoyote kuomba msaada wa chakula. Sisi huwa tunanunua chakula kwa pesa yetu kutoka kwa ushuru wa Wakenya wenyewe.
Usichekeshe watu katika kipindi hiki cha msiba wa King Majuto, kwanini USAID wasipele chakula Qatar badala yake wanaleta Kenya na Ethiopia?
Food Assistance Fact Sheet - Kenya | Food Assistance | U.S. Agency for International Development
 
Incase hujui ni kwamba kwa sasa Tanzania ndio infrastructural dominant in the region hilo ukae ukilitambua is the matter of upgrading statistics only and completion of several projects but Tanzania we have no competitor on that matter so far.
pole kaka., outside Dar do you have any city the level of Mombasa? even infrastructure wise?., Tanzania ya Vi-wonder kweli., ndio mnaanza kufanya what we did in the past years, kujenga gorofa tatu za maana in Dar na ka BRT running through shanty City., the first flyover., usijiabishe tena!
Dar-es-Salaam-masterplanning-London_52b835da431f68f893f7352496a92391.jpg
 
Back
Top Bottom