Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Ebu upload ile flyover yenu ya nakuru tufurahi kidogo..!!Nchi maskini kama Tanzania hamfai kuwa heavily indebted maana hata miundo mbinu hamna, hivyo itawabidi mkope ili kuyafanikisha.
Leo hii ndio mnaanza kushangaa fly over ya kwanza.