Tungekuwa jimbo la China...tunakesha Kumuombea Malaika JiweIngekuwa tuna madeni ambayo tusingekuwa na uwezo wa kulipa Kama Zambia
Dah.....acheni ujinga...hebu ingieni field mkadodose...unless kama mnaamua kujilisha wenyewe matango Pori...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukichunguza sana, wengi waliokuwa wanamuabudu Jiwe ni wale pia wanauwezo wa kutembea juu ya mafuta kwa Mwamposa... hii nchi imejaa majinga mengi sana.Tz bado kuna watu wajinga wengi sn
Watanzania wote wangeshageuka wa mavumbiniView attachment 1749600
Ushahidi tafadhari, weka na picha kabisa. Bujibuji mkubwa wewe.
Tungekuwa mbali sana, uchumi wa kati wa juu. Pamoja na mazongemazonge aliyofanya shujaa wa Afrika, nchi ilipanda kutoka kundi la mafukara.Miaka mitano ya kipindi cha pili cha Magufuli ilikatishwa ghafla na kifo chake. Endapo miaka hiyo ingeisha akiwa bado Rais wetu uliitegemea Tanzania ya gani mwisho wa utawala wake?
Taswira gani inakujia kichwani ukitafakari kama angemaliza kipindi chake cha uongozi akiwa hai?
Hasara tupu kwa taifaUkichunguza sana, wengi waliokuwa wanamuabudu Jiwe ni wale pia wanauwezo wa kutembea juu ya mafuta kwa Mwamposa... hii nchi imejaa majinga mengi sana.
Hahahaaaaa .. . . . . yaani raha mpaka basi. Umetumia kipimo gani mkuuIngekuwa tuna madeni ambayo tusingekuwa na uwezo wa kulipa Kama Zambia
Bunge lingelikuwa halina kazi tena tungelibana matumizi sana, maana unakaa na mafaili ofisini halafu nyuma ya mikamera unatumbua ambaye haindeni na kasi ya mapambio ya 'prease team' 'one Man show 'Matajiri wote wangeshakua mashetani
Maskini wote wangeshakua Mazombi
Mafukara wote wangeshakua misukule
deni la taifa lingefikia trilioni 500Miaka mitano ya kipindi cha pili cha Magufuli ilikatishwa ghafla na kifo chake. Endapo miaka hiyo ingeisha akiwa bado Rais wetu uliitegemea Tanzania ya gani mwisho wa utawala wake?
Taswira gani inakujia kichwani ukitafakari kama angemaliza kipindi chake cha uongozi akiwa hai?