Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,794
- 28,447
Tungekuwa tumisha wapa USA msaada hasa kipindi hiki cha COVID
Tajiri kuishi Kama shetani,je masikini ataishi
HaaaaaaaIngefikia hatua angeanza biashara ya "KUTUUZA RAIA KAMA WATUMWA" kwenye mataifa mengine, angekuwa anatuweka kwenye matenga kama ya kuuzia kuku, ili alipe madeni.
Kile kiumbe sio kabisa, kilikua kama kimekata fuse kadhaa kichwani.
Mungu usikia maombi ya wengiMwacheni Mungu aitwe Mungu. Ametupigania sana kama Taifa. Ahsante Eee Mungu Baba kwa kutuondolea kikombe kile.
Kila mtu maskini, watu wanavaa¡+/¡) manyakunyaku, Tanzania iliyotengwa kama Afrika kusini ya makaburu, vita vya wenyewe kwa wenyewe, mauaji ya kutisha, nchi yenye miundombinu, ndege, vivuko, reli, barabara, viwanja vya ndege bora zaidi duniani, hospitali nyingi zisizo na matabibu na dawa, dhehebu moja la dini lakini watu wake dhofiri hali wasio na matumaini na Shujaa mmoja Kinjenketile Ngwale anaitwa Juma Pamba Manga, JPM!Miaka mitano ya kipindi cha pili cha Magufuli ilikatishwa ghafla na kifo chake. Endapo miaka hiyo ingeisha akiwa bado Rais wetu uliitegemea Tanzania ya gani mwisho wa utawala wake?
Taswira gani inakujia kichwani ukitafakari kama angemaliza kipindi chake cha uongozi akiwa hai?
HakikaWatanzania wote wangeshageuka wa mavumbiniView attachment 1749600
Kabla ya kujibu hilo swali lako niseme tu kwamba sikuwa nategemea kwamba "angemaliza", na kuondoka madarakani hiyo 2025. Dalili zote zilionyesha angebaki.Miaka mitano ya kipindi cha pili cha Magufuli ilikatishwa ghafla na kifo chake. Endapo miaka hiyo ingeisha akiwa bado Rais wetu uliitegemea Tanzania ya gani mwisho wa utawala wake?
Taswira gani inakujia kichwani ukitafakari kama angemaliza kipindi chake cha uongozi akiwa hai?
Ushahidi tafadhari, weka na picha kabisa. Bujibuji mkubwa wewe.Ni aibu rais kulindwa na waganga wa kienyeji 900 halafu unajinadi kuwa wewe Ni Mkristo
Tungekuwa taifa la hovyo kabisa ulimwenguniMiaka mitano ya kipindi cha pili cha Magufuli ilikatishwa ghafla na kifo chake. Endapo miaka hiyo ingeisha akiwa bado Rais wetu uliitegemea Tanzania ya gani mwisho wa utawala wake?
Taswira gani inakujia kichwani ukitafakari kama angemaliza kipindi chake cha uongozi akiwa hai?
Hili nalo unataka ushahidi? Aisee ndiyo maana hata Jiwe aliweza kuwa Rais kwa sababu ya viumbe kama nyieUshahidi tafadhari, weka na picha kabisa. Bujibuji mkubwa wewe.
Alikuwa katili snMimi alinichekesha anawaambia wana kagera eti serikali haiwezi kuwasaidia kwa sababu yeye hajaleta tetemeko, siku chache baadae anatoa ndege ipeleke misaada Zimbabwe! Yaani jamaa siku nikienda mbinguni nikakutana nae nitarudi tu duniani kuendelea na maisha yangu.
Tz bado kuna watu wajinga wengi snHili nalo unataka ushahidi? Aisee ndiyo maana hata Jiwe aliweza kuwa Rais kwa sababu ya viumbe kama nyie