Tanzania ingekuwa na 'Strong Media' Kauli ya Spika Ndugai ingeeleweka vyema kwa 'Public' ila tuna 'Rotten Media' yenye 'Kujikomba' kwa Rais

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,871
Kama ni Rais huyu huyu Samia Suluhu Hassan alishasema katika moja ya Hotuba yake Kubwa kuwa Watanzania tusiache na wala tusiogope Kumkosoa leo hii Spika Ndugai nae katoa Maoni yake kwanini aandamwe na aonekane Mkosaji Mkuu?

Moja ya Kazi Kuu ya Media inayojitambua ( Siti hii yetu ya Waswahili ) duniani kote ni kuweka Uwiano ( balance ) katika ama Kuwahabarisha Wananchi au katika Kulifafanua Jambo fulani lenye Public Interest katika nchi husika.

GENTAMYCINE hapa sitaki nieleweke kuwa labda namtetea au nimeumia Spika Ndugai jana kuamua 'Kujiuzuru' Kwake vile bali Kilio changu Kikubwa ni kwa Media yetu Kushindwa Kuwajibika Kitaaluma na badala yake imekuwa ni 'Kisemeo' cha Kuunga mkono kila ikisemacho Serikali na Rais wa nchi.

Na vile vile GENTAMYCINE nisieleweke na 'Waswahili' kuwa nina Chuki na Rais Samia Suluhu Hassan tena huenda Mimi ambaye huwa namkosoa na nitaendelea Kumkosoa machoni kwa Mwenyezi Mungu ndiyo nikawa nina Upendo nae mkubwa kuliko Wanafiki na wale Team Kujipendekeza wengi Kwake walivyo.

Hivi ukiwa tu 'Critical Thinker' na ukiweka pembeni Hisia za Siasa ( kutokana na Vyama vyetu ) hii Kauli ya Spika Ndugai kuwa tusikope sana, tuimarishe Tozo zetu za Ndani ili huko mbeleni Madeni yasije Kutuzidi na nchi ikauzwa au ikapigwa Mnada ina Ubaya au hata Ukakasi wowote?

Cha Kushangaza baada ya Kauli hii ya Spika Ndugai 98% ya Vyombo vyote vya Habari nchini Tanzania navyo ama kwa Kushinikizwa au kwa Kujipendekeza au kwa Kukubali Kwao Kumezwa na Mamlaka au ninakokuita kwa Kuoza Kwao vikaanza Kumuandama Spika Ndugai na 'Kushadadia' Maoni ya Wanafiki na 'Waswahili' ndani ya Chama Tawala ( CCM ) mpaka lile walilolitaka au walilosetiwa nalo kama 'Agenda' likatimia.

Na tatizo la Watanzania wengi ( kama 75% ) yale ambayo ama wanayasikia katika Redio na Runinga au Kuyasoma katika Magazeti ya kila Siku ndiyo wanayaamini na Wao wakikaa huko Vijiweni wanakoleza zaidi mpaka Sumu ya Uwongo, Uzushi na Majungu inazidi Kusambaa katika Vichwa vyao wakati huenda wangetulia na Kutafakari zaidi wangekuwa na Uelewa mpana wa Kuchambua Masuala Kiundani.

Na Kirusi kingine kilichoibuka ( kilichojitokeza ) hasa katika Tanzania hii ya Miaka 15 hadi 20 iliyopita ni kwamba Watu ambao ni 'Critical Thinkers' wa Ukweli wakiwa wanajitokeza ama Kukemea, Kukosoa, Kupinga na hata Kushauri kwa Kujenga wanaanza Kuonekana ni Maadui wa Tanzania, Wanatumika na ni Wapinzani huku hata muda mwingine Wakitishwa au Kubambikiziwa Kesi kama sehemu ya Kuwanyamazisha na muda mwingine hata kuwahishwa Udongoni kabla ya Mola / Maulana kukuita.

Sikupenda jinsi Spika Ndugai alivyokuwa akiliongoza na akiliendesha Bunge ila sijapendezwa zaidi na jinsi Media ya Tanzania ilivyolikabili hili Sakata lake kwani imelikabili 'very unprofessional' na kwa Kujipendekeza zaidi kwa Mamlaka kwani Spika Ndugai kama Mtanzania nae alikuwa na Haki ya kutoa Maoni yake.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
 
Unapanda mahindi unataka uvune mpunga, Ndugai kapata nacho stahili
Ndugai ni mpuuzi namba moja kwenye hii nchi ila ni jukumu lake ni kuionya na kuishauri serikali kama alivyosema kuhusu mikopo.

kwa miaka 7 sasa muhimili wa bunge uliacha majukumu yake na kujikomba kwa serikali ndiyomaana ulipojaribu kutimiza majukumu yake kama bunge ameonekana amesaliti.
 
Alisema kukosoa ruksa, leo kidogo tu kakosolewa tayari kampiga mtu TKO, media nazo hazina balancing ya habari. Mkuu ni kujikomba na unafiki kama kawaida yetu.

Ndugai kaniudhi sana kuomba msamaha.
 
Hii ni tabia ya watanzania kujikomba kwa alie madarakani na kuwananga wasema ukweli. Na ndio umekuwa mlango wa lana ya nchi hii kwa kweli. Siku yule wanae jikomba kwake leo akiondoka madarakani wanahamia kwa atakaye kuwepo. Shida kubwa hapa ni njaa inayo wasumbua na sio masilahi ya nchi.
 
Gentamicin broo,January hii,Kuna Kodi za nyumba,Ada za watoto na matumizi mengine mengi,hizo media zimeajiri watu,wanahitaji mishahara,Sasa zikiandika kistrong zikifutiwa au kusimamishwa leseni watoto wa wafanyakzi wa hizo media wataenda shule? Watalipa Kodi za nyumba kweli? So long broo Katina yetu unaijua, wacha niishie hapo.
 
Kama ni Rais huyu huyu Samia Suluhu Hassan alishasema katika moja ya Hotuba yake Kubwa kuwa Watanzania tusiache na wala tusiogope Kumkosoa leo hii Spika Ndugai nae katoa Maoni yake kwanini aandamwe na aonekane Mkosaji Mkuu?

Moja ya Kazi Kuu ya Media inayojitambua ( Siti hii yetu ya Waswahili ) duniani kote ni kuweka Uwiano ( balance ) katika ama Kuwahabarisha Wananchi au katika Kulifafanua Jambo fulani lenye Public Interest katika nchi husika.

GENTAMYCINE hapa sitaki nieleweke kuwa labda namtetea au nimeumia Spika Ndugai jana kuamua 'Kujiuzuru' Kwake vile bali Kilio changu Kikubwa ni kwa Media yetu Kushindwa Kuwajibika Kitaaluma na badala yake imekuwa ni 'Kisemeo' cha Kuunga mkono kila ikisemacho Serikali na Rais wa nchi.

Na vile vile GENTAMYCINE nisieleweke na 'Waswahili' kuwa nina Chuki na Rais Samia Suluhu Hassan tena huenda Mimi ambaye huwa namkosoa na nitaendelea Kumkosoa machoni kwa Mwenyezi Mungu ndiyo nikawa nina Upendo nae mkubwa kuliko Wanafiki na wale Team Kujipendekeza wengi Kwake walivyo.

Hivi ukiwa tu 'Critical Thinker' na ukiweka pembeni Hisia za Siasa ( kutokana na Vyama vyetu ) hii Kauli ya Spika Ndugai kuwa tusikope sana, tuimarishe Tozo zetu za Ndani ili huko mbeleni Madeni yasije Kutuzidi na nchi ikauzwa au ikapigwa Mnada ina Ubaya au hata Ukakasi wowote?

Cha Kushangaza baada ya Kauli hii ya Spika Ndugai 98% ya Vyombo vyote vya Habari nchini Tanzania navyo ama kwa Kushinikizwa au kwa Kujipendekeza au kwa Kukubali Kwao Kumezwa na Mamlaka au ninakokuita kwa Kuoza Kwao vikaanza Kumuandama Spika Ndugai na 'Kushadadia' Maoni ya Wanafiki na 'Waswahili' ndani ya Chama Tawala ( CCM ) mpaka lile walilolitaka au walilosetiwa nalo kama 'Agenda' likatimia.

Na tatizo la Watanzania wengi ( kama 75% ) yale ambayo ama wanayasikia katika Redio na Runinga au Kuyasoma katika Magazeti ya kila Siku ndiyo wanayaamini na Wao wakikaa huko Vijiweni wanakoleza zaidi mpaka Sumu ya Uwongo, Uzushi na Majungu inazidi Kusambaa katika Vichwa vyao wakati huenda wangetulia na Kutafakari zaidi wangekuwa na Uelewa mpana wa Kuchambua Masuala Kiundani.

Na Kirusi kingine kilichoibuka ( kilichojitokeza ) hasa katika Tanzania hii ya Miaka 15 hadi 20 iliyopita ni kwamba Watu ambao ni 'Critical Thinkers' wa Ukweli wakiwa wanajitokeza ama Kukemea, Kukosoa, Kupinga na hata Kushauri kwa Kujenga wanaanza Kuonekana ni Maadui wa Tanzania, Wanatumika na ni Wapinzani huku hata muda mwingine Wakitishwa au Kubambikiziwa Kesi kama sehemu ya Kuwanyamazisha na muda mwingine hata kuwahishwa Udongoni kabla ya Mola / Maulana kukuita.

Sikupenda jinsi Spika Ndugai alivyokuwa akiliongoza na akiliendesha Bunge ila sijapendezwa zaidi na jinsi Media ya Tanzania ilivyolikabili hili Sakata lake kwani imelikabili 'very unprofessional' na kwa Kujipendekeza zaidi kwa Mamlaka kwani Spika Ndugai kama Mtanzania nae alikuwa na Haki ya kutoa Maoni yake.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Una hangaika Sana wewe sukuma gang,anzisha media yako strong Ili usijikombe usihangaike na za watu..

Imekwisha hiyo kajipangeni upya.
 
Kama ni Rais huyu huyu Samia Suluhu Hassan alishasema katika moja ya Hotuba yake Kubwa kuwa Watanzania tusiache na wala tusiogope Kumkosoa leo hii Spika Ndugai nae katoa Maoni yake kwanini aandamwe na aonekane Mkosaji Mkuu?

Moja ya Kazi Kuu ya Media inayojitambua ( Siti hii yetu ya Waswahili ) duniani kote ni kuweka Uwiano ( balance ) katika ama Kuwahabarisha Wananchi au katika Kulifafanua Jambo fulani lenye Public Interest katika nchi husika.

GENTAMYCINE hapa sitaki nieleweke kuwa labda namtetea au nimeumia Spika Ndugai jana kuamua 'Kujiuzuru' Kwake vile bali Kilio changu Kikubwa ni kwa Media yetu Kushindwa Kuwajibika Kitaaluma na badala yake imekuwa ni 'Kisemeo' cha Kuunga mkono kila ikisemacho Serikali na Rais wa nchi.

Na vile vile GENTAMYCINE nisieleweke na 'Waswahili' kuwa nina Chuki na Rais Samia Suluhu Hassan tena huenda Mimi ambaye huwa namkosoa na nitaendelea Kumkosoa machoni kwa Mwenyezi Mungu ndiyo nikawa nina Upendo nae mkubwa kuliko Wanafiki na wale Team Kujipendekeza wengi Kwake walivyo.

Hivi ukiwa tu 'Critical Thinker' na ukiweka pembeni Hisia za Siasa ( kutokana na Vyama vyetu ) hii Kauli ya Spika Ndugai kuwa tusikope sana, tuimarishe Tozo zetu za Ndani ili huko mbeleni Madeni yasije Kutuzidi na nchi ikauzwa au ikapigwa Mnada ina Ubaya au hata Ukakasi wowote?

Cha Kushangaza baada ya Kauli hii ya Spika Ndugai 98% ya Vyombo vyote vya Habari nchini Tanzania navyo ama kwa Kushinikizwa au kwa Kujipendekeza au kwa Kukubali Kwao Kumezwa na Mamlaka au ninakokuita kwa Kuoza Kwao vikaanza Kumuandama Spika Ndugai na 'Kushadadia' Maoni ya Wanafiki na 'Waswahili' ndani ya Chama Tawala ( CCM ) mpaka lile walilolitaka au walilosetiwa nalo kama 'Agenda' likatimia.

Na tatizo la Watanzania wengi ( kama 75% ) yale ambayo ama wanayasikia katika Redio na Runinga au Kuyasoma katika Magazeti ya kila Siku ndiyo wanayaamini na Wao wakikaa huko Vijiweni wanakoleza zaidi mpaka Sumu ya Uwongo, Uzushi na Majungu inazidi Kusambaa katika Vichwa vyao wakati huenda wangetulia na Kutafakari zaidi wangekuwa na Uelewa mpana wa Kuchambua Masuala Kiundani.

Na Kirusi kingine kilichoibuka ( kilichojitokeza ) hasa katika Tanzania hii ya Miaka 15 hadi 20 iliyopita ni kwamba Watu ambao ni 'Critical Thinkers' wa Ukweli wakiwa wanajitokeza ama Kukemea, Kukosoa, Kupinga na hata Kushauri kwa Kujenga wanaanza Kuonekana ni Maadui wa Tanzania, Wanatumika na ni Wapinzani huku hata muda mwingine Wakitishwa au Kubambikiziwa Kesi kama sehemu ya Kuwanyamazisha na muda mwingine hata kuwahishwa Udongoni kabla ya Mola / Maulana kukuita.

Sikupenda jinsi Spika Ndugai alivyokuwa akiliongoza na akiliendesha Bunge ila sijapendezwa zaidi na jinsi Media ya Tanzania ilivyolikabili hili Sakata lake kwani imelikabili 'very unprofessional' na kwa Kujipendekeza zaidi kwa Mamlaka kwani Spika Ndugai kama Mtanzania nae alikuwa na Haki ya kutoa Maoni yake.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Japo sikupenda uendeshaji wake wa lile kusanyiko ila kwa hili sakata kaonewa tu na halikuwa jambo kubwa. Hakuwa na kosa lolote.

Nahisi alishauriwa afafanue na kuomba radhi hadharani ili kujenga picha kwenye jamii kuwa ana feel guilty halafu then baada ya siku 2 unafuatwa na barua ilishachapwa unawekewa 'bomba' kichwani usaini then inatolewa mtandaoni.
 
Nadhani kilichomponza Ndugai siyo hako "kakauli", kuna lingine kubwa nyuma ya pazia. Media za bongo, na hizi siku hizi wana hizi channels zao utube, twitter ni ujinga mtu, wanakata vispeeches wanaweka yale wanayohisi yatavutia views! Hata hapa JF linafanyika sana siku hizi
 
Kama ni Rais huyu huyu Samia Suluhu Hassan alishasema katika moja ya Hotuba yake Kubwa kuwa Watanzania tusiache na wala tusiogope Kumkosoa leo hii Spika Ndugai nae katoa Maoni yake kwanini aandamwe na aonekane Mkosaji Mkuu?

Moja ya Kazi Kuu ya Media inayojitambua ( Siti hii yetu ya Waswahili ) duniani kote ni kuweka Uwiano ( balance ) katika ama Kuwahabarisha Wananchi au katika Kulifafanua Jambo fulani lenye Public Interest katika nchi husika.

GENTAMYCINE hapa sitaki nieleweke kuwa labda namtetea au nimeumia Spika Ndugai jana kuamua 'Kujiuzuru' Kwake vile bali Kilio changu Kikubwa ni kwa Media yetu Kushindwa Kuwajibika Kitaaluma na badala yake imekuwa ni 'Kisemeo' cha Kuunga mkono kila ikisemacho Serikali na Rais wa nchi.

Na vile vile GENTAMYCINE nisieleweke na 'Waswahili' kuwa nina Chuki na Rais Samia Suluhu Hassan tena huenda Mimi ambaye huwa namkosoa na nitaendelea Kumkosoa machoni kwa Mwenyezi Mungu ndiyo nikawa nina Upendo nae mkubwa kuliko Wanafiki na wale Team Kujipendekeza wengi Kwake walivyo.

Hivi ukiwa tu 'Critical Thinker' na ukiweka pembeni Hisia za Siasa ( kutokana na Vyama vyetu ) hii Kauli ya Spika Ndugai kuwa tusikope sana, tuimarishe Tozo zetu za Ndani ili huko mbeleni Madeni yasije Kutuzidi na nchi ikauzwa au ikapigwa Mnada ina Ubaya au hata Ukakasi wowote?

Cha Kushangaza baada ya Kauli hii ya Spika Ndugai 98% ya Vyombo vyote vya Habari nchini Tanzania navyo ama kwa Kushinikizwa au kwa Kujipendekeza au kwa Kukubali Kwao Kumezwa na Mamlaka au ninakokuita kwa Kuoza Kwao vikaanza Kumuandama Spika Ndugai na 'Kushadadia' Maoni ya Wanafiki na 'Waswahili' ndani ya Chama Tawala ( CCM ) mpaka lile walilolitaka au walilosetiwa nalo kama 'Agenda' likatimia.

Na tatizo la Watanzania wengi ( kama 75% ) yale ambayo ama wanayasikia katika Redio na Runinga au Kuyasoma katika Magazeti ya kila Siku ndiyo wanayaamini na Wao wakikaa huko Vijiweni wanakoleza zaidi mpaka Sumu ya Uwongo, Uzushi na Majungu inazidi Kusambaa katika Vichwa vyao wakati huenda wangetulia na Kutafakari zaidi wangekuwa na Uelewa mpana wa Kuchambua Masuala Kiundani.

Na Kirusi kingine kilichoibuka ( kilichojitokeza ) hasa katika Tanzania hii ya Miaka 15 hadi 20 iliyopita ni kwamba Watu ambao ni 'Critical Thinkers' wa Ukweli wakiwa wanajitokeza ama Kukemea, Kukosoa, Kupinga na hata Kushauri kwa Kujenga wanaanza Kuonekana ni Maadui wa Tanzania, Wanatumika na ni Wapinzani huku hata muda mwingine Wakitishwa au Kubambikiziwa Kesi kama sehemu ya Kuwanyamazisha na muda mwingine hata kuwahishwa Udongoni kabla ya Mola / Maulana kukuita.

Sikupenda jinsi Spika Ndugai alivyokuwa akiliongoza na akiliendesha Bunge ila sijapendezwa zaidi na jinsi Media ya Tanzania ilivyolikabili hili Sakata lake kwani imelikabili 'very unprofessional' na kwa Kujipendekeza zaidi kwa Mamlaka kwani Spika Ndugai kama Mtanzania nae alikuwa na Haki ya kutoa Maoni yake.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Kazi nzuri kaka tutafika tu
 
Tanzania hatuna vyombo vya habari wala waandishi wa habari, tuna vyombo na waandishi wa kuripoti matukio tu. Hakuna analysis wala balancing ya stories. Kila mwandishi anajipendekeza Ili apate uteuzi
Na viongozi washagundua hilo, wanawateua Sana Hawa jamaa
Mimi nikihitaji critical analysis ya habari naingia JF tu, Sina muda na redio wala tv za kibongo. Ni ajabu kwamba huku watu wengi sio professionals wa habari lakini angalau unapata critical analysis kama hizi.

Simkubali kabisa Ndugai as a person but kwa hili la Serikali na Chama kuingilia Bunge nimeumia sana. Nimekuja kugundua kumbe hii nchi Chama kwanza afu ndo nchi, sio wabunge, viongozi wala waandishi wanaojali maslahi mapana ya nchi
 
Kama ni Rais huyu huyu Samia Suluhu Hassan alishasema katika moja ya Hotuba yake Kubwa kuwa Watanzania tusiache na wala tusiogope Kumkosoa leo hii Spika Ndugai nae katoa Maoni yake kwanini aandamwe na aonekane Mkosaji Mkuu?

Moja ya Kazi Kuu ya Media inayojitambua ( Siti hii yetu ya Waswahili ) duniani kote ni kuweka Uwiano ( balance ) katika ama Kuwahabarisha Wananchi au katika Kulifafanua Jambo fulani lenye Public Interest katika nchi husika.

GENTAMYCINE hapa sitaki nieleweke kuwa labda namtetea au nimeumia Spika Ndugai jana kuamua 'Kujiuzuru' Kwake vile bali Kilio changu Kikubwa ni kwa Media yetu Kushindwa Kuwajibika Kitaaluma na badala yake imekuwa ni 'Kisemeo' cha Kuunga mkono kila ikisemacho Serikali na Rais wa nchi.

Na vile vile GENTAMYCINE nisieleweke na 'Waswahili' kuwa nina Chuki na Rais Samia Suluhu Hassan tena huenda Mimi ambaye huwa namkosoa na nitaendelea Kumkosoa machoni kwa Mwenyezi Mungu ndiyo nikawa nina Upendo nae mkubwa kuliko Wanafiki na wale Team Kujipendekeza wengi Kwake walivyo.

Hivi ukiwa tu 'Critical Thinker' na ukiweka pembeni Hisia za Siasa ( kutokana na Vyama vyetu ) hii Kauli ya Spika Ndugai kuwa tusikope sana, tuimarishe Tozo zetu za Ndani ili huko mbeleni Madeni yasije Kutuzidi na nchi ikauzwa au ikapigwa Mnada ina Ubaya au hata Ukakasi wowote?

Cha Kushangaza baada ya Kauli hii ya Spika Ndugai 98% ya Vyombo vyote vya Habari nchini Tanzania navyo ama kwa Kushinikizwa au kwa Kujipendekeza au kwa Kukubali Kwao Kumezwa na Mamlaka au ninakokuita kwa Kuoza Kwao vikaanza Kumuandama Spika Ndugai na 'Kushadadia' Maoni ya Wanafiki na 'Waswahili' ndani ya Chama Tawala ( CCM ) mpaka lile walilolitaka au walilosetiwa nalo kama 'Agenda' likatimia.

Na tatizo la Watanzania wengi ( kama 75% ) yale ambayo ama wanayasikia katika Redio na Runinga au Kuyasoma katika Magazeti ya kila Siku ndiyo wanayaamini na Wao wakikaa huko Vijiweni wanakoleza zaidi mpaka Sumu ya Uwongo, Uzushi na Majungu inazidi Kusambaa katika Vichwa vyao wakati huenda wangetulia na Kutafakari zaidi wangekuwa na Uelewa mpana wa Kuchambua Masuala Kiundani.

Na Kirusi kingine kilichoibuka ( kilichojitokeza ) hasa katika Tanzania hii ya Miaka 15 hadi 20 iliyopita ni kwamba Watu ambao ni 'Critical Thinkers' wa Ukweli wakiwa wanajitokeza ama Kukemea, Kukosoa, Kupinga na hata Kushauri kwa Kujenga wanaanza Kuonekana ni Maadui wa Tanzania, Wanatumika na ni Wapinzani huku hata muda mwingine Wakitishwa au Kubambikiziwa Kesi kama sehemu ya Kuwanyamazisha na muda mwingine hata kuwahishwa Udongoni kabla ya Mola / Maulana kukuita.

Sikupenda jinsi Spika Ndugai alivyokuwa akiliongoza na akiliendesha Bunge ila sijapendezwa zaidi na jinsi Media ya Tanzania ilivyolikabili hili Sakata lake kwani imelikabili 'very unprofessional' na kwa Kujipendekeza zaidi kwa Mamlaka kwani Spika Ndugai kama Mtanzania nae alikuwa na Haki ya kutoa Maoni yake.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Sasa bro,kauli ipi unayoiongelea ya huyo spika,iwapo yale aliyoyasema kayakanusha kuwa hajayasema bali yamebumbwa?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom