Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Hivi mikataba ya ndege, SGR, Stifler's , Chato airport ilipitia bunge lipi?
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Weka hadharani mkataba wowote ambao dhalimu aliuweka hadharani, zaidi ya propaganda mfu kuwa analinda raslimali.
 
thetallest ,

..kuna maeneo Magufuli alikuwa anakosea kutumia fedha za ndani badala ya kutembeza bakuli.

..kwa mfano, mimi sikuona busara ya kutumia fedha za ndani ktk uchaguzi mkuu halafu zoezi zima likaharibiwa kiasi kile.

..imeniuma sana kuona fedha za ndani zimetumika halafu uchaguzi ukawa wa hovyo-hovyo kiasi kile.

..tungetembeza bakuli kwenye fedha za uchaguzi, tungekuwa na fedha kibao za kupeleka kwenye miradi ya maendeleo.

cc tindo
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Upumbavu mtupu.
 
Magufuli alisifiwa alipokuwa akifanya vizuri pia mwanzoni, aliporekebisha mambo kadhaa yaliyokuwa yanalalamikiwa kipindi cha jakaya.
Kwani huyu aliyepo anarekebisha kitu gani kama sio kurejesha kile ambacho kilikuwa kinalalamikiwa awamu zilizopita sasa anazirejesha kwa mbwembwe huku akiwazodoa wale wale waliosababisha yeye na hayati wawape kura?

Kauli ya kwamba 'mimi na JPM ni kitu kimoja' tayari imemuanika kwenye taswira ambayo ama aliilenga kwa makusudi au kutokujua matokeo ya kauli.

Ni kweli walikuwa ni kitu kimoja lakini kwa matendo walikuwa hawaivi chungu kimoja, hizi ni hisabati ndogo za upili kuzitanzua.

Nchi nzima mmezunguka mnanadi ilani na kuwapa matumaini kwamba mtatekeleza kwa kutumia rasilimali zetu lakini kuanguka kwa nguzo kaya mnakimbilia kutafuta wawekezaji ambao hawana manufaa yoyote kwa nchi na wananchi wake, mnatembeza bakuli la misaada na hisani kutoka nje. Mkijinadi kwamba hamuwezi kuendelea kuwa kisiwa tena, je, kabla mlikuwa kisiwani? Kwanini wasingejiuzulu ili haya yanayoendelea yaungwe mkono pasipo kutupia lawama kwa mtu mwingine?

Kama Busara na Hekima kutoka kwa Mungu aliye hai hazitazingatiwa na kukumbatia matakwa ya dunia historia ya Tanzania itaendelea kutotabirika hivyo imani kupotea jumla
 
thetallest,

..tulitumia 180 billion kwa ajili ya uchaguzi mkuu.

..hebu fikiria kama fedha hizo zingepelekwa kwenye maendeleo.

..kwanini hatukutembeza bakuli wafadhili wagharimie uchaguzi mkuu?
 
Tunawajua kundi lenu loote mnaojitahidi kumkwamisha mama Samia.

Mnajitahidi kubeza kila anachokifanya.

Hata hivyo hamtaweza maana tayari mshajulikana.

Niwashauri tu kuwa mnatakiwa mkubali kuwa mama Samia ndiye Rais wa JMT.
Kwanza cha kuwaeleza ni kwamba huyo malaika wao Magufuli ndio Rais wa hovyo kuwahi kutokea tangia nchi ipate uhuru. Yaani ni mtu aliekua hana hata chembe ya ithibati ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi, yaani kwa neno jepesi alikua nyapara. Kama taifa tusirudie tena makosa yale ya kuwakabidhi nchi watu washamba.
 
Kwanza cha kuwaeleza ni kwamba huyo malaika wao Magufuli ndio Rais wa hovyo kuwahi kutokea tangia nchi ipate uhuru.Yaani ni mtu aliekua hana hata chembe ya ithibati ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi,yaani kwa neno jepesi alikua nyapara.Kama taifa tusirudie tena makosa yale ya kuwakabidhi nchi watu washamba.
Haitatokea kwenye kizazi hiki ambacho tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu.

Hakika tumeteseka sana kwa kikundi kidogo sana cha watu wapenda ukaburu.
 
Haitatokea kwenye kizazi hiki ambacho tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu.

Hakika tumeteseka sana kwa kikundi kidogo sana cha watu wapenda ukaburu.
Mkuu Namichiga ipi hiyo au ile ya Ruangwa?
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.

Jiwe kwa miaka mi5 alikopa mafedha kibao kuwazidi awamu ya Kikwete na Mkapa kwa miaka yao 20.
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Sasa mkuu huyo meko kwa miaka hiyo sita licha ya kujifanya mzalendo mbona hakuacha hata huo msingi wa kujitegemea unaoonekana kwa macho, zaidi ya maneno tu? Kipindi chake deni la taifa liliongezeka kwa trilioni 25!! Kwani viongozi ndio wanaojenga nchi?

Hao watumishi ambao ndio wahangaikaji wakubwa kwenye kujenga nchi mbona ndio aliwachukulia kama takataka, hata stahiki zao zilizo kisheria akazifanya kama hisani!! Kuhusu Kenya kuwa mbele kiuchumi usione kama imeanzia jana, lina historia yake na sio hapa tu karibia ni kwa nchi nyingi za kiafrika yupo!! Wewe ulipokuwa unakumbatia ujamaa, yeye alikumbatia ubepari toka enzi hizo!! Nenda ulaya na USA, ukaone ni nchi gani za kiafrika zinaongoza kuwa raia wake huko, kwenye tatu bora Kenya hakosi!!

Kuhusu suala la bomba la gesi kwani limekuwa serikalini kwa miaka mingapi? Kwani halifahamu kiundani? Acheni hizo, mbona lile la LNG, alilizungumzia sana kuwa ifikie muda sasa serikali ifanye uamuzi wa kujenga!! Ni mkataba gani wakati wa meko ulipitishwa bungeni? Hiyo mikataba ya ndege hadi leo kuna mbunge anaifahamu? Alitaka kuinasua kwenye mambo gani hayo, kama angekuwa na nia ya dhati angependa kila kitu akifanyie gizani?!!

Unawezaje kulipa karibia bilioni 50! Kimya kimya kwa mdai bila bunge kujua, ili ndege zisikamatwe kutokana na maamuzi mabaya serikali yako iliyoyafanya kwa kuvunja mkataba bila kufuata sheria za kimataifa?? KAWATOA tongotongo??!! Wakati ndio alitumia super glue kuwagundisha kabisa macho, leo hii kidogo ndio hao wanaanza kuona japo nuru ya mwanga kwa mbele?!!
MUACHENI MAMA AONGOZE SERIKALI YAKE, HAJAMSHIKIA MTU!!
 
Kwani umeanza?
Nilipitaga hapo kutokea matambalale kuna njia ya short cut kuna mto hapo nikamkanyaga bonge la nyoka .
Nimeweka kambi hapa toka wiki iliyopita nanunua ufuta ule wa mwanzo mwanzo, si unajua jiwe aliharibu mambo huku Sasa naona kunafunguka
 
Kweli wewe ni msukule wa Jiwe! Unajua mwendazake wenu alikuta deni la nje shs ngapi na ameondoka kukiwa shs ngapi?

Kuna Rais katembeza bakuli kuomba na kukopa nje Kama huyo Mwendazake wenu?

Yaaani bado mnaamini hiki ni kipindi cha propaganda? Sikilizeni niwaambie, Hakuna propaganda zitafanikiwa katika Awamu ya 6. Nchi imerudi kwa watanzania halisi wanaojua waiendesheje. Nyie wa Burundi rudini kwenu
Nasema uongo ndugu zangu?
 
50 Reactions
Reply
Back
Top Bottom