Wafadhili wagharamie uchaguzi mkuu! Wao uchaguzi wao unagharamiwa na nani?!..kwanini hatukutembeza bakuli wafadhili wagharimie uchaguzi mkuu?
Wafadhili wagharamie uchaguzi mkuu! Wao uchaguzi wao unagharamiwa na nani?!..kwanini hatukutembeza bakuli wafadhili wagharimie uchaguzi mkuu?
Si bora huyu anayekuwa muwazi kuwa anatembeza bakuri, kuliko lile jamaa lililokuwa linatembeza bakuli kwa kujificha!! Hilo deni la taifa kwa miaka yake mitano limeongezekanaje kwa trilioni 25?!! Kukaa unapika data ndio ushujaa? Hadi hao WB, IMF, wanakushangaa kwani huyu jamaa hizo data zake anazitoa wapi!!Vita ya kiuchumi huwezi ipangua kwa kuwalamba watu miguu, kutembeza bakuli na ku compromise na kila kitu. Nchi yoyote yenye viongozi makini, huhakikisha wanatumia kila walichonacho +resources za nchi nyingine kujikwamua. Tulianza kupiga hatua, tukafika mpaka uchumi wa kati wa chini sio haba ila huko tuendako naona tunarudi tena kwenye group la nchi masikini kwa uzembe wa watawala wasio na maono. Inasikitisha Sana, endeleeni kupiga makofi na vigelegele.
Wafadhili wagharamie uchaguzi mkuu! Wao uchaguzi wao unagharamiwa na nani?!
Hatuwezi kugharamia hivyo vyote bila kutembeza bakuli?! Siku hao wafadhili wakigoma kusaidia serikali inaanguka? Nakumbuka Kenya kipindi cha Kibaki walikatiwa misaada yote toka nje pasipo kutetereka...tunatumia billion 180 kwa uchaguzi, halafu tunakwenda kuomba wafadhili watusaidie kwenye elimu na afya?
..mimi kwa mtizamo wangu ni bora tutembeze bakuli kwa ajili ya uchaguzi, lakini afya na elimu tutumie fedha za ndani.
Vipi bei huko na vipi halmashauri hawamind?Nimeweka kambi hapa toka wiki iliyopita nanunua ufuta ule wa mwanzo mwanzo s unajua jiwe aliharibu mambo huku Sasa naona kunafunguka
Bei ya soko Bado sijajua ila mimi huu ni utaratibu wangu tu huwa nawahi mapema Sana, nanunua kwa kilo 1000[ maana huu ni ule wa mwanzo unaowahi kukauka na wanunuzi wanakuwa hawapoVipi bei huko na vipi halmashauri hawamind?
Poa mkuu mimi nipo huku Dodoma ndiyo unaanzaBei ya soko Bado sijajua ila mm huu n utaratibu wangu tu huwa nawah mapema Sana nanunua kwa kilo 1000 maana huu n ule wa mwanzo unaowah kukauka na wanunuz wanakuwa hawapo
Halmashauri huja kuanzia wasita katkat ukichanganya
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.
Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.
Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.
Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.
Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.
Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.
Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.
Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?
Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.
Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.
Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Pambana mkuu msimu wa mahindi ukianza ntakuwa Kibaigwa hapo maana mama kaachia wakenya wataongeza bei ichangamkePoa mkuu mimi nipo huku Dodoma ndiyo unaanza
Nami pia huwa nakuwaga hapo Kibaigwa napeleka Kenya sana tuPambana mkuu msimu wa mahind ukianza ntakuwa kibaigwa hapo maana mama kaachia wakenya wataongeza bei ichangamke
Ndiyo maana juzi mama Samia na Uhuru walipoondoa vikwazo nilifurahia sana.Pambana mkuu msimu wa mahind ukianza ntakuwa kibaigwa hapo maana mama kaachia wakenya wataongeza bei ichangamke
Hope ipo siku tutaonana tu JF ni zaidi ya mtandao mkuuNami pia huwa nakuwaga hapo kibaigwa napeleka Kenya sana tu
Kabisa kaka tuendelee kuwasilianaHope ipo siku tutaonana tu jf n Zaid ya mtandao mkuu
Kuna mkataba gani uliosainiwa awamu ya 5 ambao uliwekwa hadharani?Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.
Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.
Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.
Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.
Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.
Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.
Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.
Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?
Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.
Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.
Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Hatuwezi kugharamia hivyo vyote bila kutembeza bakuli?! Siku hao wafadhili wakigoma kusaidia serikali inaanguka? Nakumbuka Kenya kipindi cha Kibaki walikatiwa misaada yote toka nje pasipo kutetereka.
Mimi naona tatizo kubwa la nchi yetu ni kwenye vipaumbele. Kama taifa hatujui tunahitaji nini, na wakati gani.
Kwa hasira hizo utanitangulia wewe ukaniandalie makao...Maisha hayana stress ukiwa na moyo wa upendo...Ukiwa na gundu kama lako utakufa kwa shinikizo la damu kwakua kila mara usiyempenda anakujia...Mfuate jiwe
Mkuu Mambo ya uchumi waachie uchumi.Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.
Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.
Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.
Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.
Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.
Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.
Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.
Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?
Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.
Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.
Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Like son like fatherKwa hasira hizo utanitangulia wewe ukaniandalie makao...Maisha hayana stress ukiwa na moyo wa upendo...Ukiwa gundu kama lako utakufa kwa shinikizo la damu kwakua kila mata usiyempenda anakujia...
Mataga sasa hivi watalaumu kila mtu anaye msifia mama SamiaMkuu Mambo ya uchumi waachie uchumi.
Ukiharibu uchumi ni sawa na kutoa mimba. Itabidi ukae muda fulani upite mwili urecove Kisha mchakato wa kupata mimba ingine ifanyike.
Kwa lugha nyepesi ukiubomoa uchumi utahitaji muda mrefu kuujenga kuliko muda uliotumia kuubomoa.
Sasa mjengaji lazima atumie mbinu mpya na mabadala kuujenga upya. Sasa mama Samia anaujenga upya uchumi wetu.
Kuna kitu kinaitwa open and closed economy, mwendazake alichukua approach ya kufunga uchumi.
Fanya kila kitu mwenyewe, timua wawekezaji wa nje na hata kufrustrate wa ndani na kuondoka kwenye Kenya, Rwanda, Zambia na Malawi. Sasa tunaenda kufungua upya uchumi.
Suala la kukusanya Kodi lipo pale pale
Interahamwe kazi mnayoKwa hasira hizo utanitangulia wewe ukaniandalie makao...Maisha hayana stress ukiwa na moyo wa upendo...Ukiwa gundu kama lako utakufa kwa shinikizo la damu kwakua kila mata usiyempenda anakujia...