Tanzania inayotaka kujitegemea kiuchumi sasa inarudi zama za kutembeza bakuli ughaibuni

Vita ya kiuchumi huwezi ipangua kwa kuwalamba watu miguu, kutembeza bakuli na ku compromise na kila kitu. Nchi yoyote yenye viongozi makini, huhakikisha wanatumia kila walichonacho +resources za nchi nyingine kujikwamua. Tulianza kupiga hatua, tukafika mpaka uchumi wa kati wa chini sio haba ila huko tuendako naona tunarudi tena kwenye group la nchi masikini kwa uzembe wa watawala wasio na maono. Inasikitisha Sana, endeleeni kupiga makofi na vigelegele.
Si bora huyu anayekuwa muwazi kuwa anatembeza bakuri, kuliko lile jamaa lililokuwa linatembeza bakuli kwa kujificha!! Hilo deni la taifa kwa miaka yake mitano limeongezekanaje kwa trilioni 25?!! Kukaa unapika data ndio ushujaa? Hadi hao WB, IMF, wanakushangaa kwani huyu jamaa hizo data zake anazitoa wapi!!

Jamaa alikuwa mshambaa sana, yaani vyombo vya dunia vilivyo na kazi ya kutathimini ukuaji wa uchumi wa dunia, hutaki kuviamini eti unalazimisha watu waaamini hicho chako? Dunia nzima uchumi kila leo unayumba ila wa kwake unakuwa tu hadi kuna kipindi hiki cha covid 19, akiwa mkoani alisema umefikia 8%, hahaa ila mwendazake jamani!!

Wanaokupa pesa wako hoi ila wewe unaepewa uko vizuri!!! Sasa huo uchumi wa kati wa chini JK alituacha kwenye nadhania kwenye pato la tsh.1070, sasa tupo kwenye 1090 ongezeko la 20 kwa miaka 6! Na malengo ya serikali ilikuwa kufikia 2025 tuwe uchumi wa kati wa juu 1200!! Hapo tusingeweza kutoboa!! Bora mama anakwambia kwa sasa tupo kwenye 4.7%. Muacheni afanye kazi.
 
Wafadhili wagharamie uchaguzi mkuu! Wao uchaguzi wao unagharamiwa na nani?!

..tunatumia billion 180 kwa uchaguzi, halafu tunakwenda kuomba wafadhili watusaidie kwenye elimu na afya?

..mimi kwa mtizamo wangu ni bora tutembeze bakuli kwa ajili ya uchaguzi, lakini afya na elimu tutumie fedha za ndani.
 
..tunatumia billion 180 kwa uchaguzi, halafu tunakwenda kuomba wafadhili watusaidie kwenye elimu na afya?

..mimi kwa mtizamo wangu ni bora tutembeze bakuli kwa ajili ya uchaguzi, lakini afya na elimu tutumie fedha za ndani.
Hatuwezi kugharamia hivyo vyote bila kutembeza bakuli?! Siku hao wafadhili wakigoma kusaidia serikali inaanguka? Nakumbuka Kenya kipindi cha Kibaki walikatiwa misaada yote toka nje pasipo kutetereka.

Mimi naona tatizo kubwa la nchi yetu ni kwenye vipaumbele. Kama taifa hatujui tunahitaji nini, na wakati gani.
 
Vipi bei huko na vipi halmashauri hawamind?
Bei ya soko Bado sijajua ila mimi huu ni utaratibu wangu tu huwa nawahi mapema Sana, nanunua kwa kilo 1000[ maana huu ni ule wa mwanzo unaowahi kukauka na wanunuzi wanakuwa hawapo

Halmashauri huja kuanzia wa sita katikat ukichanganya
 
Bei ya soko Bado sijajua ila mm huu n utaratibu wangu tu huwa nawah mapema Sana nanunua kwa kilo 1000 maana huu n ule wa mwanzo unaowah kukauka na wanunuz wanakuwa hawapo

Halmashauri huja kuanzia wasita katkat ukichanganya
Poa mkuu mimi nipo huku Dodoma ndiyo unaanza
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.

Hivi hujui kwamba budget ya Afya ni pesa ya Marekani $600 kwa Mwaka hii nayo ni bakuli au mpaka waseme. Tofauti ni kuishi kwa tabia za uongo
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Kuna mkataba gani uliosainiwa awamu ya 5 ambao uliwekwa hadharani?
 
Hatuwezi kugharamia hivyo vyote bila kutembeza bakuli?! Siku hao wafadhili wakigoma kusaidia serikali inaanguka? Nakumbuka Kenya kipindi cha Kibaki walikatiwa misaada yote toka nje pasipo kutetereka.

Mimi naona tatizo kubwa la nchi yetu ni kwenye vipaumbele. Kama taifa hatujui tunahitaji nini, na wakati gani.

..hapo kwenye vipaumbele nakubaliana na wewe.

..kwa mfano, mimi napinga manunuzi ya ndege ambayo yametugharimu trillions of shillings.

..yaani tumewekeza kwenye viwanda vya mabeberu kununua madubwasha yatakayotutia hasara kwa miaka mingi ijayo.

..halafu baada ya hapo tunakwenda kuwaomba haohao mabeberu watusaidie ktk sekta za afya na elimu.

..kwenye kutembeza bakuli kwa ajili ya uchaguzi nilikuwa nazungumzia mfano halisi. tumetumia billion 180 kuendesha uchaguzi wa hovyo. ni afadhali fedha za uchaguzi zingekuwa za wafadhili, halafu hizo bilioni 180 za ndani zikatumika kwenye miradi ya maendeleo.
 
Mfuate jiwe
Kwa hasira hizo utanitangulia wewe ukaniandalie makao...Maisha hayana stress ukiwa na moyo wa upendo...Ukiwa na gundu kama lako utakufa kwa shinikizo la damu kwakua kila mara usiyempenda anakujia...
 
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.

Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia kauli ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini Rostom Aziz aliyoitoa akiwa ziarani Kenya aliyeambatana na Rais Samia.

Alisema, mfano kuna kampuni 530 za Kenya zimewekeza nchini Tanzania,hebu lingania makampuni ya Tanzania nchini Kenya ,ambayo ni 30 tu, hivyo uwekezaji nchini kwetu ni rahisi kabisa, ispokuwa kuna machache ya kurekebisha kulingana na matakwa ya muda husika.

Hivyo sisi tumefungua fursa zaidi kuliko wenzetu, isipokuwa wenzetu wametugeuza sisi ndio raw materials producers wa viwanda vyao na wanahakikisha hatukui kwenye eneo la viwanda nchini. Hili Magufuli alilipinga kwa nguvu zote ndio maana akaja na sera ya viwanda.

Niseme tu hayati Magufuli alikuwa ni mtu ambaye Mara nyingi alifanya tafiti na kupata takwimu kabla ya Maamuzi magumu kutolewa, hii ilimfanya aheshimike sana duniani licha ya mahasimu wake kumshusha thamani.

Hayati Magufuli enzi ya utawala wake hakupenda kabisa ubabaishaji na hili lilimgharimu sana .ndicho kilichopelekea baadhi ya makampuni na wafanyabiashara matapeli kukimbia nchini, ambao Mama Samia kaenda kuwapigia Magoti.

Sasa naiona Tanzania inarudi ilipotoka, Tanzania inaenda kuwa nchi ya wachuuzi tena ,pamoja na raslimali lukuki ilizonazo,hii inaendana pia na kushuka kwa morali ya uwajibikaji wa baadhi ya viongozi wetu na kujiingiza kwenye rushwa.

Maneno aliyosema Rais Samia alipokutana na wafanyabiashara nchini Kenya ya kwamba anaenda kuifungua nchi. Je, ni lini nchi hii ilifunga mipaka yake?

Nafikiri angesema hakusanyi kodi tena wawekezaji ruksa kufanyabiashara nchini bila masharti tungrmuelewa na jambo hilo halipo duniani, kodi ndio msingi wa maendeleo, serikali kama haikusanyi kodi haina uhalali wa kutawala.

Mwisho kataja bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda, tusikubali uharaka haraka wake kusaini hii mikataba bila ya kujiridhisha, bunge lihakikishe mikataba hii haisainiwi gizani kama alivyofanya kwenye hili bomba la kuuza gasi nchini Kenya.

Mambo haya yalifanyika sana enzi za awamu ya nne, na yameligharimu sana taifa baada ya hayati Magufuli kutaka kuinasua nchi kwenye ujinga huu, naona Mama Samia anataka kupita kulekule kulipotugharimu. Vinginevyo nchi hii tunaenda kugawana mbao, Magufuli kaondoka kawatoa watanzania tongotongo machoni.
Mkuu Mambo ya uchumi waachie uchumi.

Ukiharibu uchumi ni sawa na kutoa mimba. Itabidi ukae muda fulani upite mwili urecove Kisha mchakato wa kupata mimba ingine ifanyike.

Kwa lugha nyepesi ukiubomoa uchumi utahitaji muda mrefu kuujenga kuliko muda uliotumia kuubomoa.

Sasa mjengaji lazima atumie mbinu mpya na mabadala kuujenga upya. Sasa mama Samia anaujenga upya uchumi wetu.

Kuna kitu kinaitwa open and closed economy, mwendazake alichukua approach ya kufunga uchumi.

Fanya kila kitu mwenyewe, timua wawekezaji wa nje na hata kufrustrate wa ndani na kuondoka kwenye Kenya, Rwanda, Zambia na Malawi. Sasa tunaenda kufungua upya uchumi.

Suala la kukusanya Kodi lipo pale pale
 
Kwa hasira hizo utanitangulia wewe ukaniandalie makao...Maisha hayana stress ukiwa na moyo wa upendo...Ukiwa gundu kama lako utakufa kwa shinikizo la damu kwakua kila mata usiyempenda anakujia...
Like son like father
 
Mkuu Mambo ya uchumi waachie uchumi.

Ukiharibu uchumi ni sawa na kutoa mimba. Itabidi ukae muda fulani upite mwili urecove Kisha mchakato wa kupata mimba ingine ifanyike.

Kwa lugha nyepesi ukiubomoa uchumi utahitaji muda mrefu kuujenga kuliko muda uliotumia kuubomoa.

Sasa mjengaji lazima atumie mbinu mpya na mabadala kuujenga upya. Sasa mama Samia anaujenga upya uchumi wetu.

Kuna kitu kinaitwa open and closed economy, mwendazake alichukua approach ya kufunga uchumi.

Fanya kila kitu mwenyewe, timua wawekezaji wa nje na hata kufrustrate wa ndani na kuondoka kwenye Kenya, Rwanda, Zambia na Malawi. Sasa tunaenda kufungua upya uchumi.

Suala la kukusanya Kodi lipo pale pale
Mataga sasa hivi watalaumu kila mtu anaye msifia mama Samia
 
Kwa hasira hizo utanitangulia wewe ukaniandalie makao...Maisha hayana stress ukiwa na moyo wa upendo...Ukiwa gundu kama lako utakufa kwa shinikizo la damu kwakua kila mata usiyempenda anakujia...
Interahamwe kazi mnayo
 
Back
Top Bottom