Hii nchi inawezekana ni kimondo kilichodondoka kutoka motoni baada ya Kuvunjika huko kikatua duniani ! Haiwezekani mwaka ;-
1961 tuliachiwa katiba nzuri na sisi hatukutumia tukaja na katiba ya 1962 ya jamuhuri.
1964 tukaja nagia ya muungano na Zanzibar na kutengeneza hati ya muungano na tunaificha kwanini isitundikwe pale ikulu kama leseni madukani.
1967 mkaja na azimio la arusha serikali inataka ifanye biashara zote yenyewe
1972 operesheni vijiji mkawapa makada wenu umeneja vijiji
1977 mkaanzisha li chama la mafisi ili muwe mnakula bila kunawa
Hii inawezekana sio nchi labda ni kimondo
1961 tuliachiwa katiba nzuri na sisi hatukutumia tukaja na katiba ya 1962 ya jamuhuri.
1964 tukaja nagia ya muungano na Zanzibar na kutengeneza hati ya muungano na tunaificha kwanini isitundikwe pale ikulu kama leseni madukani.
1967 mkaja na azimio la arusha serikali inataka ifanye biashara zote yenyewe
1972 operesheni vijiji mkawapa makada wenu umeneja vijiji
1977 mkaanzisha li chama la mafisi ili muwe mnakula bila kunawa
Hii inawezekana sio nchi labda ni kimondo