Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Wananchi wamekosa huduma ya umeme wa uhakika, bila aibu Mh. Pinda anatangaza ongezeko la kupanda kwa bei.
Jamani kama sio wizi ni nini? Mtu uongezewe bei ya huduma ambayo huipati.
Kweli dunia inatucheka, yaani tunasukumwasukumwa na sisi tunakubali.
Kuna haja ya kuandamana kupinga ongezeko hili la bei. Wakitaka wazime kabisaaa mitambo yao
Jamani kama sio wizi ni nini? Mtu uongezewe bei ya huduma ambayo huipati.
Kweli dunia inatucheka, yaani tunasukumwasukumwa na sisi tunakubali.
Kuna haja ya kuandamana kupinga ongezeko hili la bei. Wakitaka wazime kabisaaa mitambo yao