Si jambo la kubuni tena kwamba Tanzania inaongoza kwa chokochoko za kidini ukanda huu wa Arika mashariki na kati. Kila kukicha kuna jipya kuhusu matatizo ya kidini yanayoelekea kuivuruga jamii. Kibaya zaidi ni kuwa chama tawala na serikali iliyoko madarakani inakumbatia kama si kuichochea hali hii. Wana Jf; Watanzania tunakolekea kwema?