Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Tangu Nyerere aondoke madarakani, viongozi wetu waliomfuata wamekuwa hawana uchungu na nchi yao. Mwinyi alifungua kopo kwa kusema kila mtu ruksa kula mezani kwake. Baad ya mwinyi akaja mkapa na mikataba tata na ya ajabu. Hapo ndio wakina Rostam Aziz, Edward Lowasssa wakapata Mwanya. Leo ni Kikwete ambaye ameuza nchi kwa Waarabu na wageni wengineo. Kikwete Mwenyewe ameingiza familia yake na rafiki zake wa karibu katika umilikaji wa nchi. Kila kashfa Kikwete yumo hau ameusika kwa namna moja au nyingine. Kikwete amekuwa akiitumia nchi kama mali yake binfasi.
Marafiki zake na ndugu wamekuwa wakipewa vyeo kama pipi ilhali mtanzania mwenyewe anazidi kudidimia kwenye wimbi la umasikini. Wakina Makamba waamiliki viwanjwa vikubwa kupita maelezo nchini. Makamba ni kama anamiliki robo ya Kigamboni aambako anawafanyisha vijana wa JKT akidai kwamba ni practical training, kwenye shamba lake. Wanafanya mambo makubwa ya ajabu bila yeyote kuwagusa.Ridhiwani anamiliki nyumba ya Tsh. Billioni 4,000,000,000 Jamani watanzania,Kazi ya maana hana, hizi hela Ridhiwani kazitoa wapi. huyu jamaa kila ufisadi mkubwa yumo? Je nchi yetu inamilikwa na nani, masultani au Watanzania?
Marafiki zake na ndugu wamekuwa wakipewa vyeo kama pipi ilhali mtanzania mwenyewe anazidi kudidimia kwenye wimbi la umasikini. Wakina Makamba waamiliki viwanjwa vikubwa kupita maelezo nchini. Makamba ni kama anamiliki robo ya Kigamboni aambako anawafanyisha vijana wa JKT akidai kwamba ni practical training, kwenye shamba lake. Wanafanya mambo makubwa ya ajabu bila yeyote kuwagusa.Ridhiwani anamiliki nyumba ya Tsh. Billioni 4,000,000,000 Jamani watanzania,Kazi ya maana hana, hizi hela Ridhiwani kazitoa wapi. huyu jamaa kila ufisadi mkubwa yumo? Je nchi yetu inamilikwa na nani, masultani au Watanzania?