Hapana unakosea sana katika hili, mimi namuunga mkono Rais kuondoa hofu katika jamii ila ni juu yetu kuwa waangalifu ugonjwa upo.Waliobuni hii biashara ya corona lazima watakua wanamuangalia rais wetu John Pombe Magufuli kwa jicho la husda sana.
Au nakosea ndugu yangu Sumu ?
Corona ipo kila mtu ajiongeze mwenyewe kama kweli unapenda watu wako basi chukuwa tahadhari.Tatizo la Tanzania corona imefanywa kisiasa CCM wanasema corona hamna watu wasichukue tahadhari, chadema wanasema corona ipo watu wachukue tahadhari,
Hamna kitu kibaya Kama jambo serious lifanywe kisiasa.
HII ITATUCOST TANZANIA KIUCHUMI, NA VIFO KUONGEZEKA.
nashangaa mtu anasema corona hamna wakati huko hospital ma Dr wenyewe wanaogopa kukaa karibu na mgonjwa ukiwa kwenye folen mtu akikohoa anatengwa na kuhudumiwa haraka.
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Tuliambiwa tutakufa tuokotwe mitaani kama kuku hadi leo kimya. Watanzania tuamke, COVID ni scam.
Madaktari ni frontliners sio waziri na wizara yake. Daktari anaposema Hali ni mbaya waziri ilitakiwa amsikilize , unachomaanisha ni kuwa Madaktari wake kimya hata Kama hali ni mbaya mahospitalini. Kwa kuwa wapo chini ya wizara ambayo kwa sababu za kisiasa imeamua kufunga masikioDaktari unafahamu kuwa uko chini ya wizara ?
Tayari alishapigwa chanjo ndiyo maana havai barakoaChanjo ikifika TZ usishangae yeye ndo ataikimbilia wa kwanza
na ndio swala ambalo lina mantiki.kitu kipya kimekuja why uzarau dawa zako za asil.hiv unafikir wale jamaa wakizama wakatoka na mchanganyiko mkal zaid ya ule wa kwanza wa mitishamba ambao wakau design vizur unafikir sio dawa.? na dawa ni dawa tu kama pip ila tiba inatoka kwa allah subhanatallah.ila ni lazima utafute dawa ila unaikana dawa sio inayokuponyesha ispokuwa ni allah subhanataala ndio mponyaj.ucheni unafiki na uongo, hakuna mtu aliyesema virusi vya corona ni kitu ca kufikirika..... nadhani Rais na watanzania tunaamini hii kitu ni real ndio maana tukaamua kumuachia Mungu maana yeye ndio mjuzi wa kila kitu.
Kuhusu chanjo najua serikali ILIWEKA MAMBO CLEAR KABISA KWAMBA HAINA MPANGO WA KUAGIZA HIZO CHANJO INSTEAD INAENDELEA NA UTAFIT WA LOCAL MEDICS,
Ahsante.
Siamini kama kuna mwana JF mwenye level ya ujinga kama ya kwako. Endelea kuamini kwamba hii ni scamTuliambiwa tutakufa tuokotwe mitaani kama kuku hadi leo kimya. Watanzania tuamke, COVID ni scam.
Kabisa. Wana akili za kuvukia barabara tuKipimo tosha kuwa elimu tunayopata haiwapi Wasomi maarifa zaidi ya kufahamu jinsi ya kusolve quadratic equations.