Baada ya uchaguzi Mkuu naamini kitu muhimu kinachotakiwa kufanywa na Watanzania ni kudai katiba mpya bila kujali nani ameshinda. Itakuwa ni ndoto kushindana na Kenya kimaendeleo na KATIBA ambayo haituhakikishii ,matumizi Dora ya rasilimali za umaa na uwajibikaji.