MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,744
- 48,385
Ukiona kauli ambazo Watanzania huwa nazo humu JF utajua kweli hawa ndugu zetu elimu yao ina mapungufu makubwa sana, hebu waza huyu mchungaji maarufu sana Tanzania yote, anategemewa na maelfu ya Wabongo, na mara moja moja hutinga ikulu kwenda kushauri (kama kwenye hii picha), ndiye anadiriki tena kwa akili zake mwenyewe kusema Corona inaletwa na teknolojia ya 5G.
Huwa sishangai nikiwaona Watz humu na kauli zao, maana hapa ndio elimu yao ilikofikia, hata wataalam wote kimya wanapoambiwa Corona ni 'kaugonjwa'.
Huwa sishangai nikiwaona Watz humu na kauli zao, maana hapa ndio elimu yao ilikofikia, hata wataalam wote kimya wanapoambiwa Corona ni 'kaugonjwa'.