Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio

Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio.

Hivi vilivyopo hakuna hata kimoja chenye sera ya kudumu kinachoeleweka sera zake za kudumu hasa ni zipi.

Hivi vya kwetu havieleweki kabisa vinaenda na matukio tu.

Mfano CCM ikisema kila mtanzania lazima awe na shamba upinzani watakuja mbio kupinga na kutishia kuipeleka CCM Umoja wa Mataifa kwa kulazimisha kila mtu awe mkulima!!!

Lakini ukiwauliza vyama vya upinzani vyote kuwa hivi nyie sera zenu za kudumu ni zipi ambazo vyama vyenu vikitajwa tu mtu anajua yes hii ndio sera ya kudumu ya chama changu?
Huna akili wewe
 
Kwa hiyo hakuna mzalendo alie upizani sasa.?
Maana dr slaa ni CCM
Nataka kujua ili Huyo mzalendo tumtumie kuazisha chama cha upizani km hakuna HIYO NDIO SABABU UPIZANI KUUMIZWA NCHI HII MAANA MZALENDO LAZIMA AWE CCM.
Baada ya chadema kuwa mafisadi, madalali na vibaraka uzalendo uliota mbawa
 
Jamaa jinga sijapata kuona...Badala ya kuongelea Tume huru unaleta utopolo...unajua Che alikufa natural death?pathetic
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi uonevu unyanyasaji uchakachuaji na mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa, CCM haitaki maendeleo kabsa hata tuvimaendeleo kiduchu twa SGR flyover bwawa la umeme tumejaa ufisadi mkubwa kama uliopo kwenye ununuzi wa Ndege mpaka kumtoa CAG kafara kukwepa aibu, CCM ni ile ile hakuna malaika wote wapo after money, ni vigumu Tanzania kupata maendeleo chini ya CCM kwani mda huu Tanzania ilipaswa iwe ni Nchi tajiri kuliko South Africa China America German India UK na mataifa yote tajiri, lakini chini ya CCM hakuna maendeleo zaidi ya kutumia pesa za walipa kodi kurejesha mfumo wa chama kimoja
 
Uzalendo wa CCM ni kuwabambikia kesi kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu

Tunataka rais wabunge na madiwani watakaokua wanawafanyia kazi watanzania... sio wa kuwafanyia kazi wabelgiji, wajerumani wala wamarekani
 
Vyama vya upinzani TANZANIA tulikataa katakata tume iliyoundwa kuzunguka nchi nzima asilimia 82 ya waliohojiwa na tume mijini na vijijini walikataa kata kata vyama vingi

Nyerere alipopelekewa hiyo ripoti akasema ahhh hata kama wako wachache wanataka ruhusuni tu

Lakini ukitizama hadi leo msimamo wa watanzania walio wengi hawajabadilika hawataki vyama vingi

Hata vilivyoanzishwa vyote viianzishwa na wana CCM ambao walipigwa chini uongozi kwenye serikali na chama mihasira yao ndio wakapeleka kuanzisha vyama vya siasa

mfano CHADEMA kilianzishwa na MTEI NA BOB MAKANI wote walikuwa viongozi wa serikali waliopigwa chini na serikali

CUF ILIANZISHWA NA WAPIGWA CHINI, NCCR pia, NK
Ungesema tume huru ningekuelewa.au huoni Hilo??
 
Kwa hiyo hakuna mzalendo alie upizani sasa.?
Maana dr slaa ni CCM
Nataka kujua ili Huyo mzalendo tumtumie kuazisha chama cha upizani km hakuna HIYO NDIO SABABU UPIZANI KUUMIZWA NCHI HII MAANA MZALENDO LAZIMA AWE CCM.
Dr slaa alinunuliwa kwa dola milion mbili akawasaliti chadema hana Uzalendo wowote ni kizee fulani cha hovyo sana hakina mfano wa kuigwa hata mmoja
 
  • Thanks
Reactions: lum
Tunataka rais wabunge na madiwani watakaokua wanawafanyia kazi watanzania... sio wa kuwafanyia kazi wabelgiji, wajerumani wala wamarekani
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium?
 
Hayo unayoniambia ya kufanya nao kazi nayajua sana mkuu. Wako smart sababu ya mifumo yao ya maisha ambayo iko advanced sana na wana utu pia sana. Wanathamini sana mtu anayethamini wa kwao na wanamshangaa sana mtu asiyekua na mapenzi na nchi yake. Nimefanya nao kazi umri wa kijana wa form4 sasa tunajuana vizuri. Nina wana familia wa huko pia na bahati nzuri hawana nongwa

Ila wote kwa ujumla wanawashanga mnavyomnanga rais Magufuli

Nashukuru kwa kujua hilo la wazungu kuwa ni mabeberu ni propaganda za wachovu wa siasa. Ndio maana umeshindwa kuweka ubora wa wazalendo uchwara na hao wazungu.

Rais Magufuli hanangwi bali anapewa ukweli mchungu, ambao nje ya humu mitandaoni hakuna mtu anathubutu kufunguka. Akitoka madarakani hakuna mtu atakuwa na muda naye. Tatizo mmejiingiza kwenye kumsifia mpaka mkisikia anapewa ukweli mchungu mnaona kama ananangwa. Pale anapofanya vizuri hamtumsifii maana ni wajibu wake kwani analipwa mshahara na posho nene nene, lakini pale anapochemsha kama huu wizi wa kura alioagiza, mauaji na manyanyaso ya wapinzani tunampa kubwa yake mchana kweupe.
 
Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio.

Hivi vilivyopo hakuna hata kimoja chenye sera ya kudumu kinachoeleweka sera zake za kudumu hasa ni zipi.

Hivi vya kwetu havieleweki kabisa vinaenda na matukio tu.

Mfano CCM ikisema kila mtanzania lazima awe na shamba upinzani watakuja mbio kupinga na kutishia kuipeleka CCM Umoja wa Mataifa kwa kulazimisha kila mtu awe mkulima!!!

Lakini ukiwauliza vyama vya upinzani vyote kuwa hivi nyie sera zenu za kudumu ni zipi ambazo vyama vyenu vikitajwa tu mtu anajua yes hii ndio sera ya kudumu ya chama changu?
Ndugu Yehoyada kasema vema. Ni kweli Tanzania tunahitaji vyama vya Upinzani vilivyo madhubuti. Si kama hivi tulivyo navyo.
Binafsi sijaona. Ukiwachunguza kwa makini viongozi wa vyama vya upinzani, ni opportunists wachumia tumbo. Wajanja wajanja tu na wababaishaji. Bila shaka JPM kwa kuwatambua hivyo anawapiga mkwara ili kutekeleza visions zake, maana hawana jipya; Watampotezea muda bure.
Tulikwishawashauri mara nyingi tu; jamani ee, tengenezeni program kabambe ya kujenga na kuimarisha Chama; njooni vijijini, huko vijijini mnakojijenga zaidi, wanachama wenu wengi ni hawa wahuni wapiga debe na madili; wapiga kura tuko huku vijijini! Hawaelewi.
Tena kwa mfano mwaka huu 2020 ndiyo ulikuwa mwaka mwepeesi kuiondoa CCM kwa kupata madiwani na wabunge wengi mpaka JPM angechanganyikiwa. Sasa, Chadema, ACT, NCCR, hawako vijijini kuliko na wapiga kura wengi, kuliko na watanzania wengi wasiofaidi keki ya Taifa lao.
Nawashauri tengenezeni programu ya miaka angalau 20 kujenga na kuimarisha vyama vya upinzani vijijini kwa kuhakikisha mnawekeza ktk rasilimali watu, miundombinu ya ofisi na mawasiliano.
Ona Chadema na Ruzuku yote ile!
Epukeni siasa za ukabila na ukanda. Hamwoni CCM ilivyojijengea ngome vijijini; hamwoni nyinyi akina Mbatia? Nilikupigia simu siku moja kukupa a, b, c za kufanya; ukapuuzia!
CCM inavuna kura vijijini!
Freeman yeye nilikwishamkatia tamaa. Ni brotherman. Lifist mchumia-tumbo, egoist.
Kwa jumla kwa namna vyama hivi vilivyo, itachukuwa miaka mingi mno kuwa kama Marekani au Uingereza.
Namuunga mkono JPM kuvipiga mkwara vyama vya upinzani Tanzania kwani kwa jinsi vilivyo, ukiviendekeza Nchi haiwezi kupiga hatua ya maendeleo. Hovyo kabisa!
 
Tatizo kubwa kwa chadema na upinzani kwa ujumla hawaelewi kuwa hawa wote kuanzia
CCM, wajanja wachache + Jeshi la (wananchi + polisi + magereza) + TISS + Tume ya uchaguzi + Mahakama. wote hao ni wapiga kura wao binafsi familia zao na ndugu zao na marafiki.....
Ndio maana kunahitajika chama kingine kipya cha upinzani

Mkuu na wasiwasi kama ulinipata vizuri, CCM kwasasa ni tasisi zote nilizozitaja na ndio zinaipa madaraka, hata ikimaanisha kuptia “uchafuzi

kinachohitajika ni mfumo utakao toa uhuru na haki sawa kwa vyama vyote halali vya kisiasa.

Swala la sera kufaa au kutofaa litapata jibu kutoka kwa wananchi kwa kupitia sanduku za kura zitakazoratibiwa na TUME HURU na ya HAKi ya uchaguzi.

kwa maneno mengine huwezi jua nguvu ya sera za chama chochote cha siasa kwa wananchi kupitia sanduku la kura bila ya kuwa na tume huru na ya haki ya uchaguzi.
 
Ndugu Yehoyada kasema vema. Ni kweli Tanzania tunahitaji vyama vya Upinzani vilivyo madhubuti. Si kama hivi tulivyo navyo.
Binafsi sijaona. Ukiwachunguza kwa makini viongozi wa vyama vya upinzani, ni opportunists wachumia tumbo. Wajanja wajanja tu na wababaishaji. Bila shaka JPM kwa kuwatambua hivyo anawapiga mkwara ili kutekeleza visions zake, maana hawana jipya; Watampotezea muda bure.
Tulikwishawashauri mara nyingi tu; jamani ee, tengenezeni program kabambe ya kujenga na kuimarisha Chama; njooni vijijini, huko vijijini mnakojijenga zaidi, wanachama wenu wengi ni hawa wahuni wapiga debe na madili; wapiga kura tuko huku vijijini! Hawaelewi.
Tena kwa mfano mwaka huu 2020 ndiyo ulikuwa mwaka mwepeesi kuiondoa CCM kwa kupata madiwani na wabunge wengi mpaka JPM angechanganyikiwa. Sasa, Chadema, ACT, NCCR, hawako vijijini kuliko na wapiga kura wengi, kuliko na watanzania wengi wasiofaidi keki ya Taifa lao.
Nawashauri tengenezeni programu ya miaka angalau 20 kujenga na kuimarisha vyama vya upinzani vijijini kwa kuhakikisha mnawekeza ktk rasilimali watu, miundombinu ya ofisi na mawasiliano.
Ona Chadema na Ruzuku yote ile!
Epukeni siasa za ukabila na ukanda. Hamwoni CCM ilivyojijengea ngome vijijini; hamwoni nyinyi akina Mbatia? Nilikupigia simu siku moja kukupa a, b, c za kufanya; ukapuuzia!
CCM inavuna kura vijijini!
Freeman yeye nilikwishamkatia tamaa. Ni brotherman. Lifist mchumia-tumbo, egoist.
Kwa jumla kwa namna vyama hivi vilivyo, itachukuwa miaka mingi mno kuwa kama Marekani au Uingereza.
Namuunga mkono JPM kuvipiga mkwara vyama vya upinzani Tanzania kwani kwa jinsi vilivyo, ukiviendekeza Nchi haiwezi kupiga hatua ya maendeleo. Hovyo kabisa!
Hupati uteuzi ng’oo kwa kuandika huu ujinga wenu, kama wapinzani ni Dhaifu iweje CCM kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso kibao kwa wapinzani? Wewe ndiyo hovyo kabsa maendeleo gani yanaletwa na CCM kwa kudidimiza demokrasia?
 
Mkuu na wasiwasi kama ulinipata vizuri, CCM kwasasa ni tasisi zote nilizozitaja na ndio zinaipa madaraka, hata ikimaanisha kuptia “uchafuzi

kinachohitajika ni mfumo utakao toa uhuru na haki sawa kwa vyama vyote halali vya kisiasa.

Swala la sera kufaa au kutofaa litapata jibu kutoka kwa wananchi kwa kupitia sanduku za kura zitakazoratibiwa na TUME HURU na ya HAKi ya uchaguzi.

kwa maneno mengine huwezi jua nguvu ya sera za chama chochote cha siasa kwa wananchi kupitia sanduku la kura bila ya kuwa na tume huru na ya haki ya uchaguzi.
Wananchi wanazielewa sera za wapinzani ndiyo maana wamewachagua kwa kuwapa kura nyingi lakini CCM kwa kutumia Polisiccm NECCCM Tumeccm na wakurugenziccm imepora haki zao na kuisimika CCM ikulu kienyeji pasipo idhini ridhaa ya wapiga kura
 
Ndugu Yehoyada kasema vema. Ni kweli Tanzania tunahitaji vyama vya Upinzani vilivyo madhubuti. Si kama hivi tulivyo navyo.
Binafsi sijaona. Ukiwachunguza kwa makini viongozi wa vyama vya upinzani, ni opportunists wachumia tumbo. Wajanja wajanja tu na wababaishaji. Bila shaka JPM kwa kuwatambua hivyo anawapiga mkwara ili kutekeleza visions zake, maana hawana jipya; Watampotezea muda bure.
Tulikwishawashauri mara nyingi tu; jamani ee, tengenezeni program kabambe ya kujenga na kuimarisha Chama; njooni vijijini, huko vijijini mnakojijenga zaidi, wanachama wenu wengi ni hawa wahuni wapiga debe na madili; wapiga kura tuko huku vijijini! Hawaelewi.
Tena kwa mfano mwaka huu 2020 ndiyo ulikuwa mwaka mwepeesi kuiondoa CCM kwa kupata madiwani na wabunge wengi mpaka JPM angechanganyikiwa. Sasa, Chadema, ACT, NCCR, hawako vijijini kuliko na wapiga kura wengi, kuliko na watanzania wengi wasiofaidi keki ya Taifa lao.
Nawashauri tengenezeni programu ya miaka angalau 20 kujenga na kuimarisha vyama vya upinzani vijijini kwa kuhakikisha mnawekeza ktk rasilimali watu, miundombinu ya ofisi na mawasiliano.
Ona Chadema na Ruzuku yote ile!
Epukeni siasa za ukabila na ukanda. Hamwoni CCM ilivyojijengea ngome vijijini; hamwoni nyinyi akina Mbatia? Nilikupigia simu siku moja kukupa a, b, c za kufanya; ukapuuzia!
CCM inavuna kura vijijini!
Freeman yeye nilikwishamkatia tamaa. Ni brotherman. Lifist mchumia-tumbo, egoist.
Kwa jumla kwa namna vyama hivi vilivyo, itachukuwa miaka mingi mno kuwa kama Marekani au Uingereza.
Namuunga mkono JPM kuvipiga mkwara vyama vya upinzani Tanzania kwani kwa jinsi vilivyo, ukiviendekeza Nchi haiwezi kupiga hatua ya maendeleo. Hovyo kabisa!


CCM inavuna kura vijijini kwa hali hii ??


 
Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio.

Hivi vilivyopo hakuna hata kimoja chenye sera ya kudumu kinachoeleweka sera zake za kudumu hasa ni zipi.

Hivi vya kwetu havieleweki kabisa vinaenda na matukio tu.

Mfano CCM ikisema kila mtanzania lazima awe na shamba upinzani watakuja mbio kupinga na kutishia kuipeleka CCM Umoja wa Mataifa kwa kulazimisha kila mtu awe mkulima!!!

Lakini ukiwauliza vyama vya upinzani vyote kuwa hivi nyie sera zenu za kudumu ni zipi ambazo vyama vyenu vikitajwa tu mtu anajua yes hii ndio sera ya kudumu ya chama changu?
Hicho chama mwanzilishi wake awe nani.? Au ni hawa hawa wapinzani tulionao.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom