Wananchi Tunaendelea Kupotoshwa na Mwelekeo wa Tanzania. Huu Uchumi wa Tanzania Unafuata Principles Zipi? Kama Kweli Ninavyofikiria Naona Wanataka "Free Market" Iwe Direction ya Inchi at the same time Hakuna Jitihada za Kuimarisha Private Sectors na Kujenga Middle Class at All. Leo Tukiangalia Infrastructures za Tanzania Katika Kila Maaneo Hakuna Efforts za Kuziimarisha na Hizi Priorities za Kujenga Infrastructures Zinatakiwa Ziwe Kipaumbele Sana Kuinua Uchumi wa Inchi. Mfano Security kwa Investors ni Kitu Muhimu Sana na Kinaonekana Kimemshinda Kabisa Kikwete. Ujambazi Katika Mabank na Wizi wa Fedha Kila Sectors za Inchi Umeenea na Pia Swala la Political Instability Linaonekana Wazi Kabisa Sasa. Kitu Gani Mtanzania Anachotaka Kukifanya Inchini Kitasaidia Kukuwa Kibiashara na Kutengeneza Profit? Philosophy na Vision ya Inchi Imepotea Siku Nyingi na Hatujui Kama CCM Wanaona Haya?
"Kukuwa kwa Biashara na Uinuaji wa Maisha ya Wananchi Utatokea Tu Endapo Inchi Inajali Haki za Wananchi na Kukua kwa Demokrasia. Kikwazo cha Tanzania ni CCM na Mafisadi Wengi Wakubwa"
"Kukuwa kwa Biashara na Uinuaji wa Maisha ya Wananchi Utatokea Tu Endapo Inchi Inajali Haki za Wananchi na Kukua kwa Demokrasia. Kikwazo cha Tanzania ni CCM na Mafisadi Wengi Wakubwa"