Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Habari zenu,leo ni mwezi mpya na niwamwisho kwa mwaka huu.Nashangaa kuiona serikali inafanya sherehe kubwa za kitaifa zakutumia pesa nyingi wakati watumishi wake hawajapata mishahara mpaka sasa.Leo wapo lindi,tar 9 mwezi huu tena kunasherehe.Hivi tuwaeleweje,unajua mnakera mnatuvunja moyo.Labda ndiyo mnazitumia katika shighuli zenu!Kama mmeishiwa tuambieni,.