Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Coronavirus imesababisha uchumi wa nchi kadhaa duniani kuyumba. Serikali mbali mbali duniani zinahaha kutafuta njia za ku-mitigate athari za ugonjwa huu (Italia sasa hivi nchi nzima ipo kwenye karantini).
Njoo kwetu sasa; nini kinafanyika? Obsession juu ya CHADEMA (wasifanye shughuli zao zinazoruhusiwa kikatiba ili jiwe asalie madarakani). Hakuna strategies zozote za kukabili inherent economic risks zitokanazo na muingiliano wa watu kutoka mataifa mbali mbali.
Kama ilivyo kwenye "miradi" inayopigiwa kelele kutangaza "mafanikio" ya awamu ya tano; this country is DOOMED. Ulaaniwe jiwe wewe, vizazi vyako na washirika. Wako.
Njoo kwetu sasa; nini kinafanyika? Obsession juu ya CHADEMA (wasifanye shughuli zao zinazoruhusiwa kikatiba ili jiwe asalie madarakani). Hakuna strategies zozote za kukabili inherent economic risks zitokanazo na muingiliano wa watu kutoka mataifa mbali mbali.
Kama ilivyo kwenye "miradi" inayopigiwa kelele kutangaza "mafanikio" ya awamu ya tano; this country is DOOMED. Ulaaniwe jiwe wewe, vizazi vyako na washirika. Wako.